MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,058
- 1,377
1. Ukimsomesha Mchumba wako(Mwanamke), huta muoa. Akifika Chuo kikuu anachagua Mwanamme Mwingine.
2. Hata ukimsomesha Mkeo, akipata elimu atakufanyia vituko muacheni atafute Mume Mwengine.
3. Ukitaka kuoa Mwanamke msomi, Oa mwanamke alie someshwa na Wazazi wake.
2. Hata ukimsomesha Mkeo, akipata elimu atakufanyia vituko muacheni atafute Mume Mwengine.
3. Ukitaka kuoa Mwanamke msomi, Oa mwanamke alie someshwa na Wazazi wake.