yaani wewe umem-mimba demu halafu unazuga wa jiran. sasa kama ni wa jiran wewe anakuhusu nini ama unataka kujua kama ulipo mrusha maji ilikatikia?
nafikiri wewe ulimrusha maji demu sasa unahofu imeshakatika na huna mpango nayo. lako hilo linywe
Wasaalaam,
jamani kuna demu mmoja jiran anakula sana passion (matunda yale ya juice), na kila mara analalamika kuumwa, kuchoka na kufunga kaka, juzi nikasikia eti ana mimba, jamaa kwa dalili hizi tu mimba au? msaada wenu wajuzi.
Uuuuph kazi ipo mwaka huu.....Itabidi nijifikirie upya kama niliwahi au nilichelewa kuja mjini