UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,460
- 8,747
Ni kweli ila wengi wenu kwa humu Jf mpo hivyo mkuu.Tabia ya mtu mmoja isikufanye utujumuishe wote tusiomani, kwa mfano nikiona mtu mmoja anayeamini ni mjinga haimaanishi wote mnaoamini ni wajinga.