That makes a sense!, ila bravo kwa JK nasikia amekataa kufikia zile hoteli za dola $ 5,000 kwa siku alizokuwa akifikia mzee Ben, I mean what else could we ask from our president, nothing but understanding! Bravo na viongozi wengine ni lazima waige huu mfano, na waache mchezo wa kusafiri first class na business, matokeo yake safari ya dola 1500, inaishia kuwa $ 10,000 watu wawe na huruma na hela za wananchi!