Field Marshall ES
JF-Expert Member
- Apr 27, 2006
- 12,625
- 969
Haya jamani, je hizi habari ni za kweli kuwa rais wetu amesafiri na ujumbe wa watu 50, kwenda Uganda, Uarabuni, France, na sasa yuko huko US?
Kama ni kweli, huo ujumbe sio mkubwa mno kwa nchi masikini kama yetu? Mbona Mwinyi alipoenda Brazili na kundi kama hilo kulikuwa na makelele makubwa mno? This time arround mbona hatujasikia kitu kutoka media yetu mbuzi?
Now waht is Freeman doing with him kwenye ndege moja? Please I need a help to understand? Kama ni kweli?
Kama ni kweli, huo ujumbe sio mkubwa mno kwa nchi masikini kama yetu? Mbona Mwinyi alipoenda Brazili na kundi kama hilo kulikuwa na makelele makubwa mno? This time arround mbona hatujasikia kitu kutoka media yetu mbuzi?
Now waht is Freeman doing with him kwenye ndege moja? Please I need a help to understand? Kama ni kweli?