Kwangu yanakuja kulia usiku tu wakati wa kulala.Wenye paka hebu jaribuni mtupe mrejesho
Ngoma ya sikio ikipasuka haufiNimesikia mahali kuwa mafuta taa ni sumu ya hatari sana kwamba mtu akimiminiwa ndani ya masikio hata dakika 5 hamalizi ngoma za masikio hupasuka na kufariki papo hapo.
Jee ni kweli?
Jaribu kujiwekea kisha utupe majibuNimesikia mahali kuwa mafuta taa ni sumu ya hatari sana kwamba mtu akimiminiwa ndani ya masikio hata dakika 5 hamalizi ngoma za masikio hupasuka na kufariki papo hapo.
Jee ni kweli?
Hata paka anastahili kuishi mkuu! Acha zakoWenye paka hebu jaribuni mtupe mrejesho
Jaribu utujulishe.Nimesikia mahali kuwa mafuta taa ni sumu ya hatari sana kwamba mtu akimiminiwa ndani ya masikio hata dakika 5 hamalizi ngoma za masikio hupasuka na kufariki papo hapo.
Jee ni kweli?
Atujulishe akiwa tayari kashaulamba udongo maana haichukui muda atang'ata shukaJaribu utujulishe.
aliefanya hii practical alikuwa anatafuta nini..?Nasikia ukichemsha Energy halafu ikapoa na ukanywa hauchukui round!
Hii ni kweli nishashuhudia watu walikuwa wanabishana jamaa akanywa ile energy alikata moto hospitalNasikia ukichemsha Energy halafu ikapoa na ukanywa hauchukui round!
wabongo wana uongo mwingi sana. uongo mwingine ulikuwa ukimwagia nyoka au kenge chumvi, anakatikakatika. na hakuna hata aliuyewahi kujaribu, ila anaamini ni kweli. ati uweke chumvi mlangoni mwa shimo la nyoka, akipita anaenda kukatikakatika.Nimesikia mahali kuwa mafuta taa ni sumu ya hatari sana kwamba mtu akimiminiwa ndani ya masikio hata dakika 5 hamalizi ngoma za masikio hupasuka na kufariki papo hapo.
Jee ni kweli?
Nasikia ukichemsha Energy halafu ikapoa na ukanywa hauchukui round!