Mkasika
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 391
- 155
Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Dkt. Anna Tibaijuka akiwa na Waziri wa Ofisi ya Rais Zanzibar, Dkt. Mwinyihaji Makame (katikati) na Mbunge wa Kigamboni, Dar es Salaam, Dkt. Faustine Ndugule wakiwa ndani ya ukumbi wa mkutano wakati walipohudhuria mkutano wa umoja wa Mataifa kuhusu Maendeleo ya nchi masikini Duniani, unaoendelea jijini Istanbul, Uturuki. Mkutano huo ulianza jana Mei 9 na unatarajiwa kumalizika Mei 13 mwaka huu. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).