Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
Sema upande wako hakuna mapenzi lakini watu tayari tumesha chumbia bado harusi tu. Naomba mchango wako kufanikisha sherehe hii
Mh! makubwa jongo
Sema upande wako hakuna mapenzi lakini watu tayari tumesha chumbia bado harusi tu. Naomba mchango wako kufanikisha sherehe hii
agreed kabisa mrembo... Ila kwenye pm kuna mambo balaa
aaa wote wana wenyewe istoshe na mimi sitaki used nataka bikra...
huyo the finest ni bikra hajui kabisa matusi wewe ndo utaanza kumfundisha
sana tena wallah.... Mana waelezwa maneno mpaka hujui nini ujibu subhanallah..
unaona sasa jichagulie the finest kijana hata kuongea hajui
mi sina matusi na finest ni kaka yangu mimi ambaye mke wake wa halali ni afrodenzi ambaye umbande ni shoga yangu na upande ni wifi yangu....
Mh! makubwa jongo
Kha! basi nimeshindwa kupiga debe.
Angalizo nikipigwa kibuti naomba nafasi unifikirie hata ya ushika pembe sio mbaya :love::love::love::love::love:
Kha! basi nimeshindwa kupiga debe.
Angalizo nikipigwa kibuti naomba nafasi unifikirie hata ya ushika pembe sio mbaya :love::love::love::love::love:
Maty hujambo lakini?
Vipi wewe bado haujabadilisha ID?
Niandalie Guest leo!Mzima dearest mimi sijabadili ID wala nini na akiandika pumba humu namgonga za uso tu na yanaishia humu humu jf tukikutana chemba tunaongelea yetu ya jf tunakua tumeyaacha huko huko
Niandalie Guest leo!
Leo najisikia kunywa voiceroy na wewe!Hahahaaaaaa habari yake wewe, mzima lakini wajionaje hali?
Hivi kuna ukweli kwamba mliopata wapenzi jf mumesajiri ID nyingine??ili msigundulike kama mnachangia mada zakuwasononesha wapenzi wenu???je nikweli? Mawazo tafadhali.
Leo najisikia kunywa voiceroy na wewe!
huyo ni kaka yangu wewe....
Umesikia anaumwa hebu mcheck kwa cmu
humu ni kuimbiana nyimbo tuu baas... Hakuna mpenzi wala mupenzi wallah!!! I dont think soo...
Sasa unataka tutoe siri au? Wengine tumeshaoa kupitia JF! akha!