Ukiona hivyo kunakitu maana weachatu!!!
Sina kabisa natamani hata kurudiana na my sweetheart wangu wazamani ila achatu.....mimi nikiwa naye sitabadili kwani nitakuwanaongea hisia zanguakisoma thread akaona inamgusa apotezee ila ajue sikuwa namzungumzia yeye!!Yeah tumebadilisha mpaka namba za magari! Wewe bado hujapata mpenzi JF?
Maria Roza Kalagabao ila kuwa makini ukimtokea mtu akawii kukwambia nipo rio de jenairo!ukachoka mwenyewe hii ndiyo jf
Hivi kuna watu wanapata wapenzi wa kiukweli humu,tehe tehe tehe!!!
Hivi kuna watu wanapata wapenzi wa kiukweli humu,tehe tehe tehe!!!
mhh sikuwa najua hilotupo mkuu
labda wapenzi wa part time.