na mimi natafuta ila awe na uhakika nitamchezea tu
Aahahahaaa kama nikimpenda nitamfata aisee tuone huko Brazil:smile-big::smile-big:
Kumbe kuna watu wamepata wapenzi humu!!! isee nami naanza tafuta rasmiiii
Unaweza ukacheka hata kabla ujachekeshwa blasil??au dubai
Kumbe kuna watu wamepata wapenzi humu!!! isee nami naanza tafuta rasmiiii
???????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
Swetihati wangu huyooo:mimba::mimba:
labda wapenzi wa part time.
wa demu humu ni wizi mtupu mwanaume msanii demu msanii hapo sasa!
Hivi kuna watu wanapata wapenzi wa kiukweli humu,tehe tehe tehe!!!
wapenzi wa kweli kweli wapo kabisa tena wazuri na wamaana sana msiogope
kwani huamini kama inawezekana?
Hivi kuna watu wanapata wapenzi wa kiukweli humu,tehe tehe tehe!!!
Mimi nimepata tena WAWILI! Humu humu!
Wa demu humu ni wizi mtupu mwanaume msanii demu msanii hapo sasa!
mmmmmhhh!!!! hufai hufai hufai tena wawili???? :car:
NILHAM::
:love:
Kwani wewe huwezi kuwa MPENZI wange? Au MPENZI maana yake ni gani?