Eti Makamba nae ameshtushwa na utitiri wa vituo vipya vya mafuta! Adai hana majibu

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,447
7,825
Waziri wa Nishati, January Makamba ameshtushwa na utitiri wa vituo vipya vya mafuta vinavyojengwa nchini huku akiwaomba NEMC na Ewura taarifa imekuaje?

Kama Waziri mwenye dhamana hana majibu tukamuulize nani? Vituo vimeanza kujengwa mpaka vimemalizika na vinafanya kazi hadi leo hajui kwanini! Bei nzuri na ruzuku juu kwanini wafanyabiashara wasihamie huko wakiwemo wanasiasa?

Kwanini hawa wanasiasa wanapenda kutucheza shere! Faida kubwa kwa gharama ya hela za watanzania.

 
Waziri wa Nishati, January Makamba ameshtushwa na utitiri wa vituo vipya vya mafuta vinavyojengwa nchini huku akiwaomba NEMC na Ewura taarifa imekuaje?

Kama Waziri mwenye dhamana hana majibu tukamuulize nani? Vituo vimeanza kujengwa mpaka vimemalizika na vinafanya kazi hadi leo hajui kwanini! Bei nzuri na ruzuku juu kwanini wafanyabiashara wasihamie huko wakiwemo wanasiasa?

Kwanini hawa wanasiasa wanapenda kutucheza shere! Faida kubwa kwa gharama ya hela za watanzania.


Kituo kingine kimejengwa kabisa barabarani pale Stopover Kimara! Halafu mjinga mmoja anasema hajui hahahaha halafu na yeye ni waziri wa nishati hahahahaha
 
Waziri wa Nishati, January Makamba ameshtushwa na utitiri wa vituo vipya vya mafuta vinavyojengwa nchini huku akiwaomba NEMC na Ewura taarifa imekuaje?

Kama Waziri mwenye dhamana hana majibu tukamuulize nani? Vituo vimeanza kujengwa mpaka vimemalizika na vinafanya kazi hadi leo hajui kwanini! Bei nzuri na ruzuku juu kwanini wafanyabiashara wasihamie huko wakiwemo wanasiasa?

Kwanini hawa wanasiasa wanapenda kutucheza shere! Faida kubwa kwa gharama ya hela za watanzania.

Wakaangalie flow meter huko Bandarini iko sawa?!!
 
Waziri wa Nishati, January Makamba ameshtushwa na utitiri wa vituo vipya vya mafuta vinavyojengwa nchini huku akiwaomba NEMC na Ewura taarifa imekuaje?

Kama Waziri mwenye dhamana hana majibu tukamuulize nani? Vituo vimeanza kujengwa mpaka vimemalizika na vinafanya kazi hadi leo hajui kwanini! Bei nzuri na ruzuku juu kwanini wafanyabiashara wasihamie huko wakiwemo wanasiasa?

Kwanini hawa wanasiasa wanapenda kutucheza shere! Faida kubwa kwa gharama ya hela za watanzania.

Hivi mimi niulize,kuna ubaya gani wa kuwa na utitiro wa vituo vya mafuta?

Mbona kama hii Nchi ina watu wajinga Sana,kuna sheria wanavunja? Mbona hiyo ni biashara kama biashara zingine?

Eti utitiri,huu ni upumbavu,nilidhani watafutahia kwa sababu uchumi unakua na hapo wanapambana Ili kukidhi mahitaji ya mafuta..
 
Hivi mimi niulize,kuna ubaya gani wa kuwa na utitiro wa vituo vya mafuta?

Mbona kama hii Nchi ina watu wajinga Sana,kuna sheria wanavunja? Mbona hiyo ni biashara kama biashara zingine?

Eti utitiri,huu ni upumbavu,nilidhani watafutahia kwa sababu uchumi unakua na hapo wanapambana Ili kukidhi mahitaji ya mafuta..
Mshangae waziri wako anayeshangaa, idiots
 
Hivi mimi niulize,kuna ubaya gani wa kuwa na utitiro wa vituo vya mafuta?

Mbona kama hii Nchi ina watu wajinga Sana,kuna sheria wanavunja? Mbona hiyo ni biashara kama biashara zingine?

Eti utitiri,huu ni upumbavu,nilidhani watafutahia kwa sababu uchumi unakua na hapo wanapambana Ili kukidhi mahitaji ya mafuta..
Wanajenga sehemu haramu!
 
Waziri wa Nishati, January Makamba ameshtushwa na utitiri wa vituo vipya vya mafuta vinavyojengwa nchini huku akiwaomba NEMC na Ewura taarifa imekuaje?

Kama Waziri mwenye dhamana hana majibu tukamuulize nani? Vituo vimeanza kujengwa mpaka vimemalizika na vinafanya kazi hadi leo hajui kwanini! Bei nzuri na ruzuku juu kwanini wafanyabiashara wasihamie huko wakiwemo wanasiasa?

Kwanini hawa wanasiasa wanapenda kutucheza shere! Faida kubwa kwa gharama ya hela za watanzania.

Kazi kubwa ya vituo hivyo ni kutakatisha pesa chafu za wanasiasa wa chama tawala. Ukimjua mmiliki halisi wa Lake Oil utazimia
 
Back
Top Bottom