Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,447
- 7,825
Waziri wa Nishati, January Makamba ameshtushwa na utitiri wa vituo vipya vya mafuta vinavyojengwa nchini huku akiwaomba NEMC na Ewura taarifa imekuaje?
Kama Waziri mwenye dhamana hana majibu tukamuulize nani? Vituo vimeanza kujengwa mpaka vimemalizika na vinafanya kazi hadi leo hajui kwanini! Bei nzuri na ruzuku juu kwanini wafanyabiashara wasihamie huko wakiwemo wanasiasa?
Kwanini hawa wanasiasa wanapenda kutucheza shere! Faida kubwa kwa gharama ya hela za watanzania.
Kama Waziri mwenye dhamana hana majibu tukamuulize nani? Vituo vimeanza kujengwa mpaka vimemalizika na vinafanya kazi hadi leo hajui kwanini! Bei nzuri na ruzuku juu kwanini wafanyabiashara wasihamie huko wakiwemo wanasiasa?
Kwanini hawa wanasiasa wanapenda kutucheza shere! Faida kubwa kwa gharama ya hela za watanzania.