Eti Magufuli aishangaa royalties za dhahabu kwa 4%!

Kwani yeye mwenyewe msafi? Mbona kuna uchafu mwingi tu kaufanya kwa kutumia wadhifa wake na bado anaendelea kuufanya? Ulisikia kauli ya kutofukua makaburi ya zamani? Unakumbuka kuhusu rambi rambi za wahanga wa Kagera, Lugumi pia ununuzi wa ndege kwa kukiuka taratibu za manunuzi ya Serikali na pia kutumia $485 milioni ambazo hazikuidhinishwa na Bunge? Ya Bashite je?

Acheni kumtetea huyu wakati si msafi na hana utakatifu wowote yeye ni sehemu kubwa ya ufisadi uliokithiri kupitia mikataba.

Hayo mambo mengine tuache itikadi nyuma inahitaji common sense kidogo katika hili, akiwa kama waziri haikuwa rahisi kupinga maamuzi kwani Kuna collective responsibilities kama angepinga automatically angejiondoa au kuondolewa na kutokana na good risky to calculations zake ndio tunaona haya yatatokea sasa
 
Ni usanii tu Mkuu. Na bado hana nia ya kweli ya kulimaliza hili la mikataba ya kifisadi kwa sababu yeye pia ni mhusika Mkuu.

Sometimes ukikaa chini na kufikiria sana ........... unadoubt kama kilichotokea jana ulikuwa ni uchungu kutoka moyoni au ni siasa tu!!

Maana tulishawaona hata akina Pinda wanatoa chozi hadharani!!
 
Ukitafuta waliotufikisha hapa kwa majina utakuwa unapoteza muda bure.....maana ccm wanashirikiana kupitisha uchafu wote tena kwa kuitwa na kupigwa beat na mwenyekiti kwa mtu atakayepinga miswada bungeni. Hii mimbwa ikiishaitwa na mwenyekiti kazi inayobaki nimiwachokoza wapinzani wenye akili nyingi kwa kutumia uwingi wao (wengi wape hata km ni wapumbavu na mabashite km ccm? Hapa wahenga sikubaliani nao katu....)
Tena haya malafi makubwa ccm yanapitisha haya mambo huku yakitukana watz matusi ya nguoni na kwa kejeri na dharau huu huku hii mafisadi ikipiga tu makofi....
Watz hawaitaki lkn inalazimisha kukaamadarakani kwa mabavu kwa goli la mkono bara na kwa kupora ushindi wa wazi visiwani
Shame I you ccm
 
Hao waliokuwa wanafuata taratibu wametufikisha wapi of course mapungufu anayo kama mwanadamu
 
Magufuli hivi huu mrabaha wa 4% ndiyo leo hii unaujua!? Si ulikuwemo bungeni wakati mikataba inapitishwa haraka haraka eti kwa dharura ili kulinda maslahi ya nchi!?

Hebu acha uongo huku ukijifanya kushangaa kuhusu mikataba ya kifisadi ambapo wewe pia ulihusika kuipitisha bila hata kutoa mguno.


Mkumbusheni wanaounga mkono mikataba isiletwe bungeni waseme Ndiooo wapumbavu wakasema Ndiooooooooooooo!! Werevu wakasema Sioooo. Na yeye alipanua domo Ndioooooooooooooooooooooooooooooo!!
 
Haya ndiyo matokeo ya katiba yetu mbovu inayompa Rais aliyeko madarakani mamlaka makuu ya ajabu, na uamuzi wake ndiyo vision ya nchi, hakuna mamlaka ya kuhoji. Kwa wakati ule magufuli akiwa waziri wa kawada asingeweza kufanya lolote lile kubadilisha maamuzi yoyote yale kuhusu mikataba hii. Mamlaka ya marais wakati huo ndiyo yalifuatwa. Rais wa Tanzania kwa katiba yetu ndiye dira wa mambo yote Serikali, Bungeni na hata Mahakama kwa upande mwingine.

Magu kama ana nia nzuri kuepusha haya atupatie katiba mpya wa Jaji Warioba pia apeleke mswaada bungeni kuondoa marais wastaafu wasishitakiwe.
 
Ni usanii tu Mkuu. Na bado hana nia ya kweli ya kulimaliza hili la mikataba ya kifisadi kwa sababu yeye pia ni mhusika Mkuu.
Yaani uchungu aliouonyesha jana mpaka unatia mashaka. Yaani unafikiri hakuwepo nchini miaka yote hiyo au hakuwepo bungeni. Anyway, mpaka siku watakapomaliza kuzipitisha na kuziimplement sheria mpya ndiyo nitaamini seriousness ya hii vita. Maana kama ni tume tu hata JK alikuja na ya Bomani. Tofauti tu ni kuwa hii ya sasa imefanywa kuwa shughuli ya Kitaifa.

Kwa sasa nitabaki kuwa Tomaso. Sijawa convinced kwa kuwa action zake nyingi huko nyuma either hazijazaa matunda au zimeisha hewani. Mfano kushtukiza watu makazini, Usafi Jumamosi, kusomewa Mapato mwisho wa mwezi, Vyeti hewa, madawa ya kulevya ...... list goes on.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwani yeye mwenyewe msafi? Mbona kuna uchafu mwingi tu kaufanya kwa kutumia wadhifa wake na bado anaendelea kuufanya? Ulisikia kauli ya kutofukua makaburi ya zamani? Unakumbuka kuhusu rambi rambi za wahanga wa Kagera, Lugumi pia ununuzi wa ndege kwa kukiuka taratibu za manunuzi ya Serikali na pia kutumia $485 milioni ambazo hazikuidhinishwa na Bunge? Ya Bashite je?

Acheni kumtetea huyu wakati si msafi na hana utakatifu wowote yeye ni sehemu kubwa ya ufisadi uliokithiri kupitia mikataba.


Duhh huyu jamaa ni mnafiki mno
 
Ni shida sana kuelewa huyu mtu aliyekuwa kwenye baraza la mawaziri na bungeni na aliyaona na kuyasikia wakati yanafanyika na alikaa kimya! Leo anauliza "hivi nani alituloga"? Na mbaya zaidi wale waliojaribu kupaaza sauti na kupinga wanaitwa wasaliti na watetea wezi!

Mfano mmojawapo huu hapa


Mkuu naomba nitumie hii video please 0763488123
 
My Point is kwa nafas yake sa hvi anafanya kile ambacho asingeweza kufanya kipind kile
Teh teh teh teh
Nn maana ya kuwa mbunge au waziri? Kwahiyo wangesema mlevi aliwe kiboga angekubali tu kwasbb alikuwa hana uwezo? Ni ujinga unamsumbua. Kama ni msafi kwann alikula pesa za waliokufa? Rambi rambi
 
Hayo mambo mengine tuache itikadi nyuma inahitaji common sense kidogo katika hili, akiwa kama waziri haikuwa rahisi kupinga maamuzi kwani Kuna collective responsibilities kama angepinga automatically angejiondoa au kuondolewa na kutokana na good risky to calculations zake ndio tunaona haya yatatokea sasa
Angejiuzulu
 
Back
Top Bottom