BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
- Thread starter
- #21
Hata kututaka radhi tu yeye kama mmoja wa wahusika Wakuu wa haya maovu na wizi wa kutisha. Anataka kutuzuga yeye ni mtakatifu wakati ukweli halisi tunaujua.
Watanzania ni wanafiki kuliko mafarisayo...yeye alikuwa kwenye baraza la mawaziri alikuwepo kwenye vikao vyenye kuandaa miswaada ya kupeleka bungeni, hatujawahi kumuona akipinga au kutetea kuwa tunaibiwa. aliitikia ndiooooooooo
anataka atuaminishe tu maana anajua Watanzania waoga na wanafiki. Yeye angefanya jambo moja kubwa la kututaka radhi na kusema anaanza upya