Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,751
- 7,535
Magufuli hivi huu mrabaha wa 4% ndiyo leo hii unaujua!? Si ulikuwemo bungeni wakati mikataba inapitishwa haraka haraka eti kwa dharura ili kulinda maslahi ya nchi!?
Hebu acha uongo huku ukijifanya kushangaa kuhusu mikataba ya kifisadi ambapo wewe pia ulihusika kuipitisha bila hata kutoa mguno.
Inawezekana hajui aisee! Huyu hakujiandaa kuwa raisi hivyo inawezekana hapaku na namna ya kumuandaa, si unajua hata hivyo bwana mkubwa huwa hahita ushauri ki vile!