jaxonwaziri
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 375
- 195
Najiuliza, haka ni kale ka-mwimbo ka Prof J kanatimia ama?
I like dreaming, and I dream big but this kind of dreaming is completely insane Mr Presida..!
Nimesikia ukiwasimulia watoto waliokuja kukuona hapo magogoni kuwa eti, kwenye hako ka-kauli mbiu kanakosema "..Tanzania beyond tommorrow.." eti kila mwalimu atakuwa anamiliki laptop yake! Mr Presidaa are you serious? Sane? Napata picha kama babu anawasimulia wajukuu zake hadithi vile? Na tunajua kuwa hadithi wakati mwingine hazina ukweli, ila zinafundisha! Napata tatizo ninapojaribu kufanya uamuzi wa ama ulikuwa unasimulia hadithi kwa wajukuu zako ama ulikuwa unaota wakati wa mchana (day dreaming)
Hebu twende pamoja:
Lini huo utafiti umefanywa kuonyesha kuwa what teachers need is laptops na sio malipo mazuri, mazingira mazuri ya kazi, shule zilizojitosheleza kwa kila kitu kuanzia maabara, maktaba n.k, kurejeshewa heshima na hadhi yao mbele ya jamii, na pia mafunzo ya kutosha kwa waalimu hawa?
Ndugu Presidaa, shule ngapi zina umeme unahitajika ku-chaji hizo laptops?
Halafu Mr. Presidaa, hizo laptop wazifanyie nini? Dont tell me ni za kuandalia masomo na kutunza kumbukumbu!
Mr Presidaaa, unafahamu hatutakiwi kuangalia laptop kama kitu cha kifahari na tunatakiwa kurudi kwenye ukweli kuwa laptop ni kitendea kazi kama vitendea kazi vingine mfano wa kalamu, nyundo, msumeno n.k?
Kuna haja gani ya kumpatia mtenda kazi kitendea kazi ilhali hathaminiwi, mazingira ya kazi ni mabovu, taaluma ya utendaji kazi haijaboreshwa?
Mbona nahisi mawazo haya yana serious error??
Is this the way Mr Presidaa is supposed to be thinking? Kweli? Yeye na wasaidizi wake?
Its horrifying to have a president who thinks this way!
Haya, lets say wamepewa, and lets suppose zimegawiwa kwa waalimu wa sekondari tu, za kata included, zimekadiriwa kuwa na life-span ya muda gani? Ama matengenezo yatahitajika baada ya muda gani? Yatafanywaje? Yata simamiwa na nani? Kwa fedha ipi? Tunahakikishaje laptop hizo zitakuwa zinafanya kazi iliyokusudiwa? Re-placement ni baada ya muda gani? Serikali hii itakabiliana-je na habari za .." ...laptop zimeeibwa.." ama "...zimepotea..."
Mr Presidaa, zitakuwa na internet? Kweli? How?
Isije kuwa kuna ka-kampuni ka teknolojia kanatafuta soko na ka-meshafanya lobbying ya kutosha ili kuju kuzimwaga huku kwetu tanzania, hata kama ki-uhalisia hatuzihitaji?
Mr Presidaa, unayaangalia haya yote kwa macho matatu?
Halafu, mbona kama wazo hili la laptop limekaa kama la-ki "..ACADEMY...." ama .."...Ki-international school..." flani hivi. For sure mtu unayetaka kuboresha elimu shule ya sekondari Nkuu, ama shule ya msingi Kwembetutu kule Mbinga, shule ya msingi Mwinyi kule mjini Tabora huwezi kuanza kuzungumzia laptop, nildhani ungeanza kuzungumzia vyumba vya madarasa, madawati na hata White boards ili kuondokana na vumbi la chaki linalotokana na utumiaji wa blackboards!
Mr Presidaaa, are you serious?
I like dreaming, and I dream big but this kind of dreaming is completely insane Mr Presida..!
Nimesikia ukiwasimulia watoto waliokuja kukuona hapo magogoni kuwa eti, kwenye hako ka-kauli mbiu kanakosema "..Tanzania beyond tommorrow.." eti kila mwalimu atakuwa anamiliki laptop yake! Mr Presidaa are you serious? Sane? Napata picha kama babu anawasimulia wajukuu zake hadithi vile? Na tunajua kuwa hadithi wakati mwingine hazina ukweli, ila zinafundisha! Napata tatizo ninapojaribu kufanya uamuzi wa ama ulikuwa unasimulia hadithi kwa wajukuu zako ama ulikuwa unaota wakati wa mchana (day dreaming)
Hebu twende pamoja:
Lini huo utafiti umefanywa kuonyesha kuwa what teachers need is laptops na sio malipo mazuri, mazingira mazuri ya kazi, shule zilizojitosheleza kwa kila kitu kuanzia maabara, maktaba n.k, kurejeshewa heshima na hadhi yao mbele ya jamii, na pia mafunzo ya kutosha kwa waalimu hawa?
Ndugu Presidaa, shule ngapi zina umeme unahitajika ku-chaji hizo laptops?
Halafu Mr. Presidaa, hizo laptop wazifanyie nini? Dont tell me ni za kuandalia masomo na kutunza kumbukumbu!
Mr Presidaaa, unafahamu hatutakiwi kuangalia laptop kama kitu cha kifahari na tunatakiwa kurudi kwenye ukweli kuwa laptop ni kitendea kazi kama vitendea kazi vingine mfano wa kalamu, nyundo, msumeno n.k?
Kuna haja gani ya kumpatia mtenda kazi kitendea kazi ilhali hathaminiwi, mazingira ya kazi ni mabovu, taaluma ya utendaji kazi haijaboreshwa?
Mbona nahisi mawazo haya yana serious error??
Is this the way Mr Presidaa is supposed to be thinking? Kweli? Yeye na wasaidizi wake?
Its horrifying to have a president who thinks this way!
Haya, lets say wamepewa, and lets suppose zimegawiwa kwa waalimu wa sekondari tu, za kata included, zimekadiriwa kuwa na life-span ya muda gani? Ama matengenezo yatahitajika baada ya muda gani? Yatafanywaje? Yata simamiwa na nani? Kwa fedha ipi? Tunahakikishaje laptop hizo zitakuwa zinafanya kazi iliyokusudiwa? Re-placement ni baada ya muda gani? Serikali hii itakabiliana-je na habari za .." ...laptop zimeeibwa.." ama "...zimepotea..."
Mr Presidaa, zitakuwa na internet? Kweli? How?
Isije kuwa kuna ka-kampuni ka teknolojia kanatafuta soko na ka-meshafanya lobbying ya kutosha ili kuju kuzimwaga huku kwetu tanzania, hata kama ki-uhalisia hatuzihitaji?
Mr Presidaa, unayaangalia haya yote kwa macho matatu?
Halafu, mbona kama wazo hili la laptop limekaa kama la-ki "..ACADEMY...." ama .."...Ki-international school..." flani hivi. For sure mtu unayetaka kuboresha elimu shule ya sekondari Nkuu, ama shule ya msingi Kwembetutu kule Mbinga, shule ya msingi Mwinyi kule mjini Tabora huwezi kuanza kuzungumzia laptop, nildhani ungeanza kuzungumzia vyumba vya madarasa, madawati na hata White boards ili kuondokana na vumbi la chaki linalotokana na utumiaji wa blackboards!
Mr Presidaaa, are you serious?