Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Kama title inavyojieleza
Naombeni ufafanuzi juu ya hili jamanii
Kuna binti aged 18 single mother nilikutana nae kipindi cha sensa nikaomba namba tukaanza mawasiliano
Baada ya muda nikaomba nikutane nae akaanza visingizio mara naumwa , mara nimeenda kwa dada nitachelewa kurudi nikaendelea kumsikilizia
Kila akinipiga kalenda anaishia kusema kama umechukia kutoona na wewe poa tu sikua namjibu
Baada ya kuona ananizungusha zungusha kukutana na mimi nikaamua kumpotezea.
Baada ya siku kadhaa kaanza kutuma msg za kimahaba kumbe nahisi anatengeneza mazingira ya kizinga
Jana jioni ghafla bin vuu inaingia msg " Mambo baby wangu, nimefiwa na kaka naomba nauli niende msibani" nikasoma ile msg nikaishia kucheka tu
Kama kafiwa na kaka yake ukoo na familia yake(wazazi wake) si ndo wako responsible kushughukilia masuala ya safari sasa mimi mtu baki tena hajawahi kukutana na mimi hata mara moja anataka nijipe majukumu yasiyonihusu. Sikumjibu ile msg.
Nyie wadada acheni kuomba omba hela kwa wanaume ambao hata hamuwapi ushirikiano wowote. Mnawatafuta mkiwa na shida zenu uchwara
Hakuna mwanaume lofa anahonga hela kwa mwanamke ambaye anajishaua shaua na punguzeni njaa.
Naombeni ufafanuzi juu ya hili jamanii
Kuna binti aged 18 single mother nilikutana nae kipindi cha sensa nikaomba namba tukaanza mawasiliano
Baada ya muda nikaomba nikutane nae akaanza visingizio mara naumwa , mara nimeenda kwa dada nitachelewa kurudi nikaendelea kumsikilizia
Kila akinipiga kalenda anaishia kusema kama umechukia kutoona na wewe poa tu sikua namjibu
Baada ya kuona ananizungusha zungusha kukutana na mimi nikaamua kumpotezea.
Baada ya siku kadhaa kaanza kutuma msg za kimahaba kumbe nahisi anatengeneza mazingira ya kizinga
Jana jioni ghafla bin vuu inaingia msg " Mambo baby wangu, nimefiwa na kaka naomba nauli niende msibani" nikasoma ile msg nikaishia kucheka tu
Kama kafiwa na kaka yake ukoo na familia yake(wazazi wake) si ndo wako responsible kushughukilia masuala ya safari sasa mimi mtu baki tena hajawahi kukutana na mimi hata mara moja anataka nijipe majukumu yasiyonihusu. Sikumjibu ile msg.
Nyie wadada acheni kuomba omba hela kwa wanaume ambao hata hamuwapi ushirikiano wowote. Mnawatafuta mkiwa na shida zenu uchwara
Hakuna mwanaume lofa anahonga hela kwa mwanamke ambaye anajishaua shaua na punguzeni njaa.