Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 8,950
- 35,405
Waooh umeniita vizuri. Hadi nimeshiba yaani siendi tena lunch.Mamy
Waooh umeniita vizuri. Hadi nimeshiba yaani siendi tena lunch.Mamy
Na hapo ni kitoto kidogo hcho lakin kinataka kunipeleka kama ng'ombe afu wanawake wengi wanaamini kila mwanaume ana uroho sana na mbususuMweeeeh! Eti hajawahi kulaala na mwanaume.
Mkuu ongeza screenshot.
Hongera mamy😅Waooh umeniita vizuri. Hadi nimeshiba yaani siendi tena lunch.
Hapo alivyokuambia hajawahi kufanya kabisa ni ili udate utume fare fasta aje ufanye uzinduzi.Na hapo ni kitoto kidogo hcho lakin kinataka kunipeleka kama ng'ombe afu wanawake wengi wanaamini kila mwanaume ana uroho sana na mbususu
Mimi uroho ni ninao lakin kuna wakat huwa najistopisha
Asante, mzima wewe?Hongera mamy
Kweli kabisa pia watoto wakiume wapewe elimu ya kuwapenda na kuwasaidia ndugu zao wa kike kama wakiwa na kauwezoHapo alivyokuambia hajawahi kufanya kabisa ni ili udate utume fare fasta aje ufanye uzinduzi.
Ila jamani tufanye kazi tuandalie watoto wetu mazingira mazuri waache kuwa wezi wakiwa na umri mdogo.
Huyo sio mwanamke ni panya road, pambaff sana bichwa lake mblock....
Dah mbona hata namba zake za simu hujaficha Mkuu?View attachment 2369540View attachment 2369541
Haka kuna kabinti nimezaa nako kalikuwa kanapenda kutumia simu ya huyu,sasa akawa ana tabia ya kujifanya kama anakosea namba ananipigia wakati mwingine usiku,jana nikaamua nimwambie nataka nimuone hata hatujaonana kaanza vizinga
Mungu mwema niko salama rafiki, habari yakoAsante, mzima wewe?
Nimemsaidia anaweza pata mume humuDah mbona hata namba zake za simu hujaficha Mkuu?
Umemuexpose mno
Ha ha ha DahNimemsaidia anaweza pata mume humu
18 years ni mtoto. Tunamdiscuss mtotoNadhani kumchangia nauli kwenda msibani kama ni kweli sio ishu, ungeweza kumpa tu ila sema ni kajinga hako. Mwanzo kalikuona hufai na majibu eti kama umemaind kutoonana poa tu alafu saa hizi nauli yako ina umuhimu. Tena usingeishia kukanyima ungekatukana juu!
Miaka hio chuoni kuna mmoja hana hela ya kula afu kama sina anakasirika kabisa hataki mazoea,, kunq siku anaumwa anataka hela ya hosp mara akafanye check up mwili mzma ,nikamwambia hio pesa sina ..hapa enyewe nina 20 tu ukipimwa kwa 20 hata hela ya dawa hamna ,, akajibu sasa hio inatosha nini..nikamuuliza mama ako ulimwambia unaumwa? Akasema ndio hana hela nikamwambia shika simu mpigie mwambie unataka kwenda hosp hauna helaKama title inavyojieleza
Naombeni ufafanuzi juu ya hili jamanii
Kuna binti aged 18 single mother nilikutana nae kipindi cha sensa nikaomba namba tukaanza mawasiliano
Baada ya muda nikaomba nikutane nae akaanza visingizio mara naumwa , mara nimeenda kwa dada nitachelewa kurudi nikaendelea kumsikilizia
Kila akinipiga kalenda anaishia kusema kama umechukia kutoona na wewe poa tu sikua namjibu
Baada ya kuona ananizungusha zungusha kukutana na mimi nikaamua kumpotezea.
Baada ya siku kadhaa kaanza kutuma msg za kimahaba kumbe nahisi anatengeneza mazingira ya kizinga
Jana jioni ghafla bin vuu inaingia msg " Mambo baby wangu, nimefiwa na kaka naomba nauli niende msibani" nikasoma ile msg nikaishia kucheka tu
Kama kafiwa na kaka yake ukoo na familia yake(wazazi wake) si ndo wako responsible kushughukilia masuala ya safari sasa mimi mtu baki tena hajawahi kukutana na mimi hata mara moja anataka nijipe majukumu yasiyonihusu. Sikumjibu ile msg.
Nyie wadada acheni kuomba omba hela kwa wanaume ambao hata hamuwapi ushirikiano wowote. Mnawatafuta mkiwa na shida zenu uchwara
Hakuna mwanaume lofa anahonga hela kwa mwanamke ambaye anajishaua shaua na punguzeni njaa.
NakaziaVIJANA TUTAFUTE HELA TUACHE MALALAMIKO
Pisiiiii ya kitunguruuu inaupiga mwingi sanaaaaaaaaaaView attachment 2369540View attachment 2369541
Haka kuna kabinti nimezaa nako kalikuwa kanapenda kutumia simu ya huyu,sasa akawa ana tabia ya kujifanya kama anakosea namba ananipigia wakati mwingine usiku,jana nikaamua nimwambie nataka nimuone hata hatujaonana kaanza vizinga
Aijie hiyo nauli getokwa hiyo mwamba unamshaurije
Mhurumie mwanamke mwenzio huyo! Ila angeomba tu nauli bila kuleta mambo ya mahaba.Huyo sio mwanamke ni panya road, pambaff sana bichwa lake mblock....
Wakati anaifuata geto kichwani anakua anawaza kufuata nauli ama Kuna Cha ziada? Tozo zimefutwa wafanye miamala tu.Aijie hiyo nauli geto