Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,422
- 5,594
Hamna billion 2 hapo mzeBilioni 2 zimepigwa kwenye selcom
Hamna billion 2 hapo mzeBilioni 2 zimepigwa kwenye selcom
Sasa nikizipata hizi si nakuwa nakula elf 10 kila siku mpaka miaka 100 bado zipo tu.
we acha tu asee kuna watu wanaishi aseemashuka ya mmasai yakiwa kwenye batch za saizi mbali mbali
Mpaka zinakuja public hivyo watu wameshajisevia kiasi cha kutoshahuyo afande anazimezea mate hapo lazima atoke na hata ka milioni 😂
Wabongo nuksi sana wana dharahu ety wala sio pesa nyingiHata sio pesa nyingi sana hiyo mkuu kwa kuitazama...labda noti zingekuwa za dola
Wabongo nuksi sana wana dharahu ety wala sio pesa nyingi
hawa siku mbili tu unabak mweupee 😂
Mkuu mbona hizo nyingi?Hahahahah hapo mzigo unaonekana kama 300M ila report ikija utaskia ni 150M zimekamatwa.
Hawa mfumo wao wa ulinzi wa fedha ni mbovu. Si mara nyingine walishaibiwa hela nyingi ama nasahauMakambako huyo jamaa wa selcom amekula kamba inayomzid kimo angekula urefu wa kamba yake asingekamatwa. Comed ya awamu ya 6.


Mchwa hao ukiwasogelea miezi mitatu mingi😂😂😂
Inasemekana wameokoa 900M+ ila hapo pichani hio hela haizidi 300M! Hivyo vibunda vya milion 5/5 havizidi 60 Kwa macho tu!Mpaka zinakuja public hivyo watu wameshajisevia kiasi cha kutosha