Eti hili ni penzi ama hisia za penzi??

Kumbe nikimtongoza mwanamke akakubali ndani ya siku moja nitoke ndukii :biggrin1::biggrin1:
Ndio maana yake kaka, lakini hii ni kwa yule ambae ndio kwanza mnakutana kwa mara ya kwanza ukimtongoza akakubali inabidi utoke nduki labda kama ni changu!
 
ktk kila tulifanyalo katika maisha yetu lazima tuwe na maamuzi sahihi,sasa watu walitaka akurupuke tu jamani?lazima umsome mtu kwamba sasa hayo mavazi yake ntambadilishaje frm madilu system tu falii pupa,au huo mwendo wake atatoka vipi frm joti to masanja etc kuna vitu lazima uchanganue jamani pia u never no mabye mdada alikuwa anaongea na Mungu wake amuonyeshe njia yote yanawezekana.

Na mtu kama lazima umbadilishe KILA alivyo hamna mapenzi hapo ni kubabaishana tu....yani anataka mtu mwingine tofauti alafu amtake kaka wa watu ajibadilishe kwanzia utosini mpaka vidoleni then what?!!
 
kweli cousin... yaani merytina anaona kabisa hilo ni chaka lakini anatushindilia humo ati ni beach plot

dah!!
cheka sana.
Usuallu machaka hugeuka makazi mpangilio kwani hutumika late na kwa mpangilio uliokubaliwa.
compare sinza and manzese,sinza 1985 naambiwa ilikuwa chaka.Manzeshe 1963 mji mdogo cheki leo manzese ilivyo ovyo.

it is real a beach plot,u gonna enjoy a lot in case
 
Sometimes unaweza kujikuta unammisi hata yule anayekukera kila siku anapopotea ghafala maishani mwako...
 
zea is no way utambadilisha mtu kwa kila kitu unless ww uwe Mungu,wat I meant is kumbadilisha mtu kunaanza ktk fikra zako kwanza mfano kama hupendi mwanaume mfupi ktk maisha yako lakn ukakutana nae na akakuonyesdha mapenzi ya dhati mwisho wa siku utampenda na kuanza kubadilisha hisia zako na kumwona toll kuliko hasheeem thabit,kila kitu ni jinsi unavyokipoea.
Na mtu kama lazima umbadilishe KILA alivyo hamna mapenzi hapo ni kubabaishana tu....yani anataka mtu mwingine tofauti alafu amtake kaka wa watu ajibadilishe kwanzia utosini mpaka vidoleni then what?!!
 
Ndio maana yake kaka, lakini hii ni kwa yule ambae ndio kwanza mnakutana kwa mara ya kwanza ukimtongoza akakubali inabidi utoke nduki labda kama ni changu!
Aisee!!! Yaani jana usiku tu nilikutana na binti maneno mawili tu akakubali kwahiyo Katavi nikumuona huyo binti tena leo:bolt::bolt::bolt:au sio???
 
Na mtu kama lazima umbadilishe KILA alivyo hamna mapenzi hapo ni kubabaishana tu....yani anataka mtu mwingine tofauti alafu amtake kaka wa watu ajibadilishe kwanzia utosini mpaka vidoleni then what?!!
Mimi nina uhakika mara ya kwanza uliponiona nikakusalimia ukanichunia nilijua tayari umeisha fall in love na mimi.
 
zea is no way utambadilisha mtu kwa kila kitu unless ww uwe Mungu,wat I meant is kumbadilisha mtu kunaanza ktk fikra zako kwanza mfano kama hupendi mwanaume mfupi ktk maisha yako lakn ukakutana nae na akakuonyesdha mapenzi ya dhati mwisho wa siku utampenda na kuanza kubadilisha hisia zako na kumwona toll kuliko hasheeem thabit,kila kitu ni jinsi unavyokipoea.
Tatizo sio kwamba anaweza au hawezi ila anataka kufanya hivyo maana mwenyewe kasema alikua anachukia mpaka salamu yake.Sasa akishindwa kumbadilisha awe vile anavyotaka ndipo atakapomuacha kaka wa watu solemba!!!
 
" We come to love not by finding a perfect person, but by learning to see an imperfect person perfectly."
Tatizo sio kwamba anaweza au hawezi ila anataka kufanya hivyo maana mwenyewe kasema alikua anachukia mpaka salamu yake.Sasa akishindwa kumbadilisha awe vile anavyotaka ndipo atakapomuacha kaka wa watu solemba!!!
 
" We come to love not by finding a perfect person, but by learning to see an imperfect person perfectly."

Then she should have seen those imperfections and accepted them from the begining.Sio unamuona mtu choo leo kesho umajifanya ameshakua sebule.....
 
Back
Top Bottom