Madaraka Amani
Member
- Mar 9, 2011
- 89
- 17
Tanzania ya leo ni upuuzi mtupu. Mtu anaweza kuimba chochote kwa kuharibu lugha na hata kutukana na wimbo ukashika chati . mambo hayaishii hapo wacheza senema ndio usiombe wao wanaweza kucheza picha ya ajabu nayo ikauzwa sana na hakuna wa kuuliza. zamani kulikuwa na taasisi za kudhibiti picha zinazostahili kuonyeshwa." Fiilm Tanzania" Wenzetu wa rate picha zao sisi kila kitu uza au onyesha. tujitazame.....