Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,666
- 16,889
Katika miezi hii na tunakoelekea naona , minyuzi ya wagombea na wagombaniwa imeshika hatamu kila pembe ni uchaguzi na wachaguliwa ila sio dhambi tukijipa break kidogo.
Maisha yana mambo mengi sana ya kuyajadili.
Leo naomba tujadilia hili hasa kwa wale waliopanga kama mimi.
Eti ghetto kwako umeweka sheria gani kwa wageni na washkaji zako?
Maisha yana mambo mengi sana ya kuyajadili.
Leo naomba tujadilia hili hasa kwa wale waliopanga kama mimi.
Eti ghetto kwako umeweka sheria gani kwa wageni na washkaji zako?