Wabunge wa Upinzani walikuwa na mchango gani katika kupitishwa kwa Sheria kandamizi ya Mifuko ya Jamii?

nanga mstafu

JF-Expert Member
Aug 12, 2016
381
648
Najiuliza sana hii sheria mbovu iliyopitishwa inayotaka mstaafu asilipwe kiinua mgongo chote kwa mkupuo, hivi hawa tunaowaita ni wapinzani watutetee walikua na mchango gani ktk hili?

Bora tungesikia wakiipinga kwa nguvu zote ila sijaskia mchango wao ndio maana nasemaga muda mwingine kupiga kura ni kupoteza mda.

Kwanini HII SHERIA HAIWAHUSU WANASIASA AU WABUNGE AU WATEULE MBALIMBALI WA RAISI?

Alafu eti raisi hamwogopi MUNGU anajiita rais wa wanyonge, huu ni unafiki wa hali ya juu ila yote yana mwisho.

HAKUNA WATAWALA WALIOKUA WANANYANYASA WANANCHI KWA SHERIA KANDAMIZI KAMA NCHI ZA KIARABU KASKAZINI MWA AFRIKA, LEO HII WAKO WAPI?
 
Kwanza ulitaka kuona au kupata michango yako ktk bunge lipi unasema hili dark bunge au ? Wapinzani hiii kitu wamepinga sna tangu bunge la makinda na hiii ilienda kwa hati ya dharula ! Unategemea wale wazeee wa ndiyo walivyo wengi hoja za kijinga kama hiz zisipite ,na bado kuna mswada wa vyama vya siasa angalia utakavyokimbizwa ili hali katiba mpya ipo pending
 
Eneo moja ambalo waheshimiwa huwa wanakuwa kitu kimoja na kuweka tofauti zao kando ni kuongezewa mafao na maslahi yao.

Kwenye mambo mengine porojo tu.

Hatuwezi kuwa nchi isiyokua na bunge? Ukitafakari sana pesa tunayoiwekeza kwa hawa jamaa ni hasara tupu.
 
uzuri ni kuwa sheria hii haibagui wavaa tshet za kijani wala njano wote ni kuisoma namba
nakala kwa
KBST, MSEMAJI UKWELI, ISIS, MAGONJWA MTAMBUKA MISULI POHAMBA MSAGA SUMU, NA WAFIA CHAMA WENGINE
 
Najiuliza sana hii sheria mbovu iliyopitishwa inayotaka mstaafu asilipwe kiinua mgongo chote kwa mkupuo, hivi hawa tunaowaita ni wapinzani watutetee walikua na mchango gani ktk hili?
Bora tungesikia wakiipinga kwa nguvu zote ila sijaskia mchango wao ndio maana nasemaga mda mwingine kupiga kura ni kupoteza mda
Kwa NINI HII SHERIA HAIWAHUSU WANASIASA AU WABUNGE AU WATEULE MBALIMBALI WA RAISI?
Alafu eti raisi hamwogopi MUNGU anajiita rais wa wanyonge, huu ni unafiki wa hali ya juu ila yote yana mwisho,
HAKUNA WATAWALA WALIOKUA WANANYANYASA WANANCHI KWA SHERIA KANDAMIZI KAMA NCHI ZA KIARABU KASKAZINI MWA AFRIKA, LEO HII WAKO WAPI?
Wapinzani kazi yao n kutoka njee ya bunge na kususia vikao basi.
 
Wapinzani kazi yao n kutoka njee ya bunge na kususia vikao basi.
Na hao wa ccm kazi yao ni ipi? Zaidi ya kusema ndiyoooo kwa kila kitu! Bora kutoka nje kuliko kupitisha miswada mibovu kama huo wa mafao baada ya kustaafu au ule wa fao la kujitoa!
 
Kupitisha wamepitisha wao ingawa haiwausu
..je? Walisha chukua maoni ya walengwa au asie kuepo nalake halipo?...
 
....kila mmoja ataguswa kwa namna yake, baada ya muda tutakuwa wamoja, hatutojali tena itikadi za kivyama....naona ndoto ikienda kutimia sasa
 
Najiuliza sana hii sheria mbovu iliyopitishwa inayotaka mstaafu asilipwe kiinua mgongo chote kwa mkupuo, hivi hawa tunaowaita ni wapinzani watutetee walikua na mchango gani ktk hili?
Bora tungesikia wakiipinga kwa nguvu zote ila sijaskia mchango wao ndio maana nasemaga mda mwingine kupiga kura ni kupoteza mda
Kwa NINI HII SHERIA HAIWAHUSU WANASIASA AU WABUNGE AU WATEULE MBALIMBALI WA RAISI?
Alafu eti raisi hamwogopi MUNGU anajiita rais wa wanyonge, huu ni unafiki wa hali ya juu ila yote yana mwisho,
HAKUNA WATAWALA WALIOKUA WANANYANYASA WANANCHI KWA SHERIA KANDAMIZI KAMA NCHI ZA KIARABU KASKAZINI MWA AFRIKA, LEO HII WAKO WAPI?
Usitegemee wabunge wa upinzani walete mabadiliko katika tawala za tanzania.Tatizo lipo kwetu wananchi ni waoga.Lini tumewahi kutoka barabarani kupinga jambo???nguvu ya pamoja ma ccm yatatulia

ISIS
MSAGA SUMU
 
Siku hizi CCM inatoa rushwa kwa asasi za kiraia kuunga mkono jitihada hata kama ni gandamizi. Mfano huo mfuko wa PSSSF utasikia watu wanaandaliwa kuunga mkono huo ujinga
 
Sasa hivi hatuna chakujivunia ila ushenzi wa waliowengi kupitisha ujinga wowote, bora umetokea mwikulu.

1. Matumizi makubwa yanafanyika bila bunge kupitisha

2. Miswaada mingi inapitishwa kuilinda ccm sio wananchi

3. Maamuzi mengi yanalazimishwa ilimradi ionekane ccm wapo hatakama huku chini watanzania wanaadhilika.


Ujinga umeshamili mjengoni, busara zimesahaulika na wajinga wameshika hatamu.
 
uzuri ni kuwa sheria hii haibagui wavaa tshet za kijani wala njano wote ni kuisoma namba
nakala kwa
KBST, MSEMAJI UKWELI, ISIS, MAGONJWA MTAMBUKA MISULI POHAMBA MSAGA SUMU, NA WAFIA CHAMA WENGINE
Hao wote uliowataja akili anazo mume wao Polepole.
 
Nawasihi mrudishe busara zenu wakuu. Mada hii inagusa maisha ya watu, iacheni ijadiliwe kwa tuo.
 
Nakumbuka wapinzani walipinga sana lakini mafisiem kwa wingi wao wakapitisha kibabe. Ni hasara sana kwa Taifa letu kuwa na wabunge wengi wa CCM.
 
Back
Top Bottom