Eti Dk. Slaa, Prof. Lipumba, Mhe. Mbatia ni dream team

Eti Dk. Slaa, Prof. Lipumba, Mhe. Mbatia ni dream team

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
Kama kuna kipindi upinzani utapata pigo kubwa ni kama watampendekeza yoyote kati ya hawa;

Mh. Mbatia:

Alishindwa ubunge jimbo la Kawe tena mwanamke ni vp mjini wamkatae alafu vijijini wamkubali is a day dream, Mwenyekiti wa chama kuaminiwa na CCM it raises doubt, tetesi za kushiriki vikao vya kumsimika Lowassa magogoni nani atamuamiini?

Mhe. Profesa Lipumba:
Katika watu waliochoka kisiasa huyu mtu ni namba moja, libidi Prof Safari kuondoka kwenye chama
chama kinaongozwa toka Zanzibar hii ni aibu.

Kugombea mara kibao na kupata 2% ni dalili za mgonjwa wa siasa au Ebola ya siasa

Dk. Slaa:
Kwa jinsi alivo na mapungufu mengi sitamzungumzia kupoteza wakati wangu, Yaani mmojawapo akipitishwa CCM waweke jiwe jiwe litashinda.
 
Wamuongeze na mfalme jonzi a.k.a joka la mdimu kuimarisha kikosi
 
assadsyria3

mmezoea kuchakachua matokeo kama kawaida yenu, 2010 mnajua jinsi mlivyochakachua hadi mkaaibika subirini mwaka kesho, kama Ukawa wakisimamisha mgombea 1 kila jimbo jiandae kukaa upande wa kushoto mwa spika bungeni.
 
KAMA kuna kipindi upinzani utapata pigo kubwa ni kama watampendekeza yoyote kati ya hawa
Mh MBATIA
ALISHINDWA UBUNGE JIMBO LA KAWE TENA MWANAMKE NI VP MJINI WAMKATAE ALAFU VIJIJIN WAMKUBALI IS A DAY DREAM
MWENYEKITI WA CHAMA KUAMINIWA NA CCM IT RAISES DOUBT
TETESI ZA KUSHIRIKI VIKAO VYA KUMSIMIKA LOWASA MAGOGONI NAN ATAMWAINI?
MH PROF LIPUMBA
KATIKA WATU WALIOCHOKA KISIASA UYU MTU NI NAMBA MOJA LIBIDI PROF SAFARI KUONDOKA CHAMANI
CHAMA KINAONGOZWA TOKA ZANZIBAR HII NI AIBU
KUGOMBEA MARA KIBAO NA KUPATA 2% NI DALILI ZA MGONJWA WA SIASA AU EBOLA YA SIASA
DK SLAA
KWA JINSI ALIVO NA MAPUNGUFU MENGI SITAMZUNGUMZIA KUPOTEZA WAKATI WANGU

YANI MMOJAWAPO AKIPITISHWA CCM WAWEKE JIWE JIWE LITASHINDA.

Hii ni aibu kwa mfumo wa elimu wa Tanzania...huwezi kujenga hoja, hata kuandika basi? Na nakisia wewe ni graduate...what a shame!
 
Hii ni aibu kwa mfumo wa elimu wa Tanzania...huwezi kujenga hoja, hata kuandika basi? Na nakisia wewe ni graduate...what a shame!

huwezi kuamini kwa andiko hilo atalipwa buku saba bila kikwazo kutoka kwa Nape Nnauye
 
Last edited by a moderator:
Si ugombee wewe badala ya kuwashindanisha na jiwe,buku 7 zimekulevya.
 
Kama kuna kipindi upinzani utapata pigo kubwa ni kama watampendekeza yoyote kati ya hawa;

Mh. Mbatia:

Alishindwa ubunge jimbo la Kawe tena mwanamke ni vp mjini wamkatae alafu vijijini wamkubali is a day dream, Mwenyekiti wa chama kuaminiwa na CCM it raises doubt, tetesi za kushiriki vikao vya kumsimika Lowassa magogoni nani atamuamiini?

Mhe. Profesa Lipumba:
Katika watu waliochoka kisiasa huyu mtu ni namba moja, libidi Prof Safari kuondoka kwenye chama
chama kinaongozwa toka Zanzibar hii ni aibu.

Kugombea mara kibao na kupata 2% ni dalili za mgonjwa wa siasa au Ebola ya siasa

Dk. Slaa:
Kwa jinsi alivo na mapungufu mengi sitamzungumzia kupoteza wakati wangu, Yaani mmojawapo akipitishwa CCM waweke jiwe jiwe litashinda.

Sentensi yoyote inayoanza na 'eti', siku zote ni udaku. Nimeifungua hii thread ili nikuambie hili ili next time ujirekebishe unapoandika ili kuvuta hadhira.
 
Hii ni aibu kwa mfumo wa elimu wa Tanzania...huwezi kujenga hoja, hata kuandika basi? Na nakisia wewe ni graduate...what a shame!

hahah, TZ tunapewa shule siyo elimu. Ndo maana unaona jamaa anavotapika upuuzi
 
Sentensi yoyote inayoanza na 'eti', siku zote ni udaku. Nimeifungua hii thread ili nikuambie hili ili next time ujirekebishe unapoandika ili kuvuta hadhira.
Akasome historia ya Obama.
 
Kama kuna kipindi upinzani utapata pigo kubwa ni kama watampendekeza yoyote kati ya hawa;

Mh. Mbatia:

Alishindwa ubunge jimbo la Kawe tena mwanamke ni vp mjini wamkatae alafu vijijini wamkubali is a day dream, Mwenyekiti wa chama kuaminiwa na CCM it raises doubt, tetesi za kushiriki vikao vya kumsimika Lowassa magogoni nani atamuamiini?

Mhe. Profesa Lipumba:
Katika watu waliochoka kisiasa huyu mtu ni namba moja, libidi Prof Safari kuondoka kwenye chama
chama kinaongozwa toka Zanzibar hii ni aibu.

Kugombea mara kibao na kupata 2% ni dalili za mgonjwa wa siasa au Ebola ya siasa

Dk. Slaa:
Kwa jinsi alivo na mapungufu mengi sitamzungumzia kupoteza wakati wangu, Yaani mmojawapo akipitishwa CCM waweke jiwe jiwe litashinda.
Mmezoea kuongozwa na Mawe ndo maana na akili zenu zimeganda kama jiwe. Simikeni tena jiwe lingine.
 
Sentensi yoyote inayoanza na 'eti', siku zote ni udaku. Nimeifungua hii thread ili nikuambie hili ili next time ujirekebishe unapoandika ili kuvuta hadhira.

kwaiyo umevutika na neni eti
 
Back
Top Bottom