Eti Dk. Slaa, Prof. Lipumba, Mhe. Mbatia ni dream team

Eti Dk. Slaa, Prof. Lipumba, Mhe. Mbatia ni dream team

Eti hizo ni kauli za Nyoka/Shetwani wakati akimdanganya Hawa/Eva kwenye bustani ya Edeni.

Huyo naye ni Nyoka aliyejivua gamba ila sumu imeongezeka maradufu.

Wanachanganyikiwa sana kuona vyama vya Upinzani vimeungana na.kufanya maamuzi kwa Pamoja.
 
Jana kuna post yako ulipandisha humu ya kipuuzi kama hii baada ya post yako kubanwa ukakana chama chako! Kuna uwezekano mkubwa wewe nisamweli sita au chupi ingine kutoka ccm mmeshaanzwa na kichaa! Maana kichaa hakianzii jalalani bali kwa jinsi unavyo behave ndio watu wanaanza kukusomea ramani kuwa umewehuka
huyo st kayumba
 
Kama kuna kipindi upinzani utapata pigo kubwa ni kama watampendekeza yoyote kati ya hawa;

Mh. Mbatia:

Alishindwa ubunge jimbo la Kawe tena mwanamke ni vp mjini wamkatae alafu vijijini wamkubali is a day dream, Mwenyekiti wa chama kuaminiwa na CCM it raises doubt, tetesi za kushiriki vikao vya kumsimika Lowassa magogoni nani atamuamiini?

Mhe. Profesa Lipumba:
Katika watu waliochoka kisiasa huyu mtu ni namba moja, libidi Prof Safari kuondoka kwenye chama
chama kinaongozwa toka Zanzibar hii ni aibu.

Kugombea mara kibao na kupata 2% ni dalili za mgonjwa wa siasa au Ebola ya siasa

Dk. Slaa:
Kwa jinsi alivo na mapungufu mengi sitamzungumzia kupoteza wakati wangu, Yaani mmojawapo akipitishwa CCM waweke jiwe jiwe litashinda.

we ubongo wako nahisi kuna jongoo ndani anatembea, siyo bure
 
Kama kuna kipindi upinzani utapata pigo kubwa ni kama watampendekeza yoyote kati ya hawa;

Mh. Mbatia:

Alishindwa ubunge jimbo la Kawe tena mwanamke ni vp mjini wamkatae alafu vijijini wamkubali is a day dream, Mwenyekiti wa chama kuaminiwa na CCM it raises doubt, tetesi za kushiriki vikao vya kumsimika Lowassa magogoni nani atamuamiini?

Mhe. Profesa Lipumba:
Katika watu waliochoka kisiasa huyu mtu ni namba moja, libidi Prof Safari kuondoka kwenye chama
chama kinaongozwa toka Zanzibar hii ni aibu.

Kugombea mara kibao na kupata 2% ni dalili za mgonjwa wa siasa au Ebola ya siasa

Dk. Slaa:
Kwa jinsi alivo na mapungufu mengi sitamzungumzia kupoteza wakati wangu, Yaani mmojawapo akipitishwa CCM waweke jiwe jiwe litashinda.
ukifanya mapitio ya thread zako kwa siku za karibuni utagundua hofu imekuiingia ndo hivyo tena.
 
Kama kuna kipindi upinzani utapata pigo kubwa ni kama watampendekeza yoyote kati ya hawa;

Mh. Mbatia:

Alishindwa ubunge jimbo la Kawe tena mwanamke ni vp mjini wamkatae alafu vijijini wamkubali is a day dream, Mwenyekiti wa chama kuaminiwa na CCM it raises doubt, tetesi za kushiriki vikao vya kumsimika Lowassa magogoni nani atamuamiini?

Mhe. Profesa Lipumba:
Katika watu waliochoka kisiasa huyu mtu ni namba moja, libidi Prof Safari kuondoka kwenye chama
chama kinaongozwa toka Zanzibar hii ni aibu.

Kugombea mara kibao na kupata 2% ni dalili za mgonjwa wa siasa au Ebola ya siasa

Dk. Slaa:
Kwa jinsi alivo na mapungufu mengi sitamzungumzia kupoteza wakati wangu, Yaani mmojawapo akipitishwa CCM waweke jiwe jiwe litashinda.

huna akili wewe umetumwa na hao mafisadi uje uchafue hali ya hewa.kafie mbele huko hatutaki kusikia upumbavu huo
 
Ninachojitahidi ni kutobishana akili yako. Ila tupe mapungufu ya Dr slaa au ni level yako, au uccm!!! Usiwaongelee wapiga kura jiongelee km mpiga kura tena nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri!!!!!!!.
 
Hii ni aibu kwa mfumo wa elimu wa Tanzania...huwezi kujenga hoja, hata kuandika basi? Na nakisia wewe ni graduate...what a shame!

Si graduate nilishawahi kuona humu kuwa ni moja ya watu wakaribu wa Salim Ahmed Salim, sasa nashindwa kuelewa alimtoa wapi kilaza huyu au sijjuhi ni shemeji yake?
 
Kama kuna kipindi upinzani utapata pigo kubwa ni kama watampendekeza yoyote kati ya hawa;

Mh. Mbatia:

Alishindwa ubunge jimbo la Kawe tena mwanamke ni vp mjini wamkatae alafu vijijini wamkubali is a day dream, Mwenyekiti wa chama kuaminiwa na CCM it raises doubt, tetesi za kushiriki vikao vya kumsimika Lowassa magogoni nani atamuamiini?

Mhe. Profesa Lipumba:
Katika watu waliochoka kisiasa huyu mtu ni namba moja, libidi Prof Safari kuondoka kwenye chama
chama kinaongozwa toka Zanzibar hii ni aibu.

Kugombea mara kibao na kupata 2% ni dalili za mgonjwa wa siasa au Ebola ya siasa

Dk. Slaa:
Kwa jinsi alivo na mapungufu mengi sitamzungumzia kupoteza wakati wangu, Yaani mmojawapo akipitishwa CCM waweke jiwe jiwe litashinda.

BG28YB584 Imethibitishwa
Umepokea Tsh7000 kutoka kwa Nape Nnauye

Salio lako la M-PESA ni Tsh7000
 
Back
Top Bottom