Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Ukimya wa marafiki zako ni HATARI kuliko kelele za MAADUI wako.
Binafsi naamini kuwa Marafiki wa KIKWETE ni MAFISADI, nao wamekaa KIMYA na KIKWETE amekuwa akiwaunga MKONO na KUDHARAU walio wengi, WANANCHI WA KAWAIDA NA MASKINI.
Ndio maana anapoambiwa au kuulizwa juu ya MAFISADI UNAMUONA ANATABASAMU na KUCHEKA. JIBU LINALOFUATA, WOTE MNALIJUA!
Binafsi naamini kuwa Marafiki wa KIKWETE ni MAFISADI, nao wamekaa KIMYA na KIKWETE amekuwa akiwaunga MKONO na KUDHARAU walio wengi, WANANCHI WA KAWAIDA NA MASKINI.
Ndio maana anapoambiwa au kuulizwa juu ya MAFISADI UNAMUONA ANATABASAMU na KUCHEKA. JIBU LINALOFUATA, WOTE MNALIJUA!