BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Wabadilike kina dada au abadilike huyo mwanadada???
Visista duu uchwara hivo utakuta huko super market vimeanza kuingia tayari vishaanza kuvaa bra
Kuna kengine juzi juzi kananiambia hakalagi ugali wakati enzi hizo tunasoma, nishaenda kwao tukagonga ugali dagaa tena dagaa za mchuzi, ule mchuzi wa kuloeka vidole kabisa vidagaa vinaogelea mfyuuu.
Kidem cha hivo ni cha kupunguzia nyege tu usije ukaoa
Ofcourse maeneo ya supermarket bidha nyingi huwa bei iko juu ukilinganisha na maeneo mengine, na.kuhusu ubora sio garantee coz mchicha wa sokoni umevunwa siku hiyo hiyo tena asbhi wa supermarket una kaa hadi wiki.Tatizo ni kwenda nae supermarket au kipato chako hakiruhusu kwenda huko?
Mbona mna doubt sana kuhusu jinsia yake?? Kwa sababu ametupia mulemule??wewe ni Ke au Me?
Hivi leo ni siku gani, its like am out of my mind, maana leo naona tuko pamoja.Your First impression is the last impression..1st date ukijiweka kipredeshee aaaah..lazma akufanyie sinema. Just be you..kawaida yaani. It won't cost you. Japokuwa,kuna wanawake nao wanapenda sana show off za kijinga. ..
Ofcourse maeneo ya supermarket bidha nyingi huwa bei iko juu ukilinganisha na maeneo mengine, na.kuhusu ubora sio garantee coz mchicha wa sokoni umevunwa siku hiyo hiyo tena asbhi wa supermarket una kaa hadi wiki.
Maandazi na vitumbua ni hivi hivi vya mtaani kwetu na mtaani unachukua vya moto. Kama kipato kinaruhusu ni sehemu nzr ya kuosha na macho pia.
Visista duu uchwara hivo utakuta huko super market vimeanza kuingia tayari vishaanza kuvaa bra
Kuna kengine juzi juzi kananiambia hakalagi ugali wakati enzi hizo tunasoma, nishaenda kwao tukagonga ugali dagaa tena dagaa za mchuzi, ule mchuzi wa kuloeka vidole kabisa vidagaa vinaogelea mfyuuu.
Kidem cha hivo ni cha kupunguzia nyege tu usije ukaoa[/QUOTE aiseee umeuaaaa
Hahahaah ndio najua Leo.Eeh baba mimi ni he, mwanaume wa miraba minne na six packs ninazo
Visista duu uchwara hivo utakuta huko super market vimeanza kuingia tayari vishaanza kuvaa bra
Kuna kengine juzi juzi kananiambia hakalagi ugali wakati enzi hizo tunasoma, nishaenda kwao tukagonga ugali dagaa tena dagaa za mchuzi, ule mchuzi wa kuloeka vidole kabisa vidagaa vinaogelea mfyuuu.
Kidem cha hivo ni cha kupunguzia nyege tu usije ukaoa
Jinsia tafadhari..Visista duu uchwara hivo utakuta huko super market vimeanza kuingia tayari vishaanza kuvaa bra
Kuna kengine juzi juzi kananiambia hakalagi ugali wakati enzi hizo tunasoma, nishaenda kwao tukagonga ugali dagaa tena dagaa za mchuzi, ule mchuzi wa kuloeka vidole kabisa vidagaa vinaogelea mfyuuu.
Kidem cha hivo ni cha kupunguzia nyege tu usije ukaoa
Asubui mwananaVisista duu uchwara hivo utakuta huko super market vimeanza kuingia tayari vishaanza kuvaa bra
Kuna kengine juzi juzi kananiambia hakalagi ugali wakati enzi hizo tunasoma, nishaenda kwao tukagonga ugali dagaa tena dagaa za mchuzi, ule mchuzi wa kuloeka vidole kabisa vidagaa vinaogelea mfyuuu.
Kidem cha hivo ni cha kupunguzia nyege tu usije ukaoa
Visista duu uchwara hivo utakuta huko super market vimeanza kuingia tayari vishaanza kuvaa bra
Kuna kengine juzi juzi kananiambia hakalagi ugali wakati enzi hizo tunasoma, nishaenda kwao tukagonga ugali dagaa tena dagaa za mchuzi, ule mchuzi wa kuloeka vidole kabisa vidagaa vinaogelea mfyuuu.
Kidem cha hivo ni cha kupunguzia nyege tu usije ukaoa
Kweli unaweza kuwa na mdada mwenzako pembeni mpaka ukajiona wa hali gani sijui! Uwa sipendi kumsema vibaya mdada mwenzangu ila jamani kuna wengine sijui walishushwaaa! Mfano unaweza kukutana na mdada kwenye sehemu ya kutengeneza kucha mpaka ukaskia kinyaaa kwanza anavyoongea kiswanglish kanabandika kucha miguu na mikonoo yotee weaving refu matokoni( yale ya india na BBC) yaan anavyoongea utazani mtoto mdogo kazaliwa jana! Sehemu hizi uwa tunaona mengi na ukija fuatilia elimu yake F.F.F CBE!
Kwa hilo la supermaketi ni ulimbukeni kwan hata michicha siku hizi ipo supermket? Jamani ambao hamuendi changanyikeni mnakosa vingi kwanza vyakula sio gari afu vingiii mpaka unabakiza chengi! Mie supermarketi ninayokwenda ni SH hamon (sp) kwa ajiri ya lotion flan tu! Vininevyo hapana.
Nb, ila wanasema acheni watoto watumie hela iwazoe.
Soko la mabibo bei zao safi sana, bila kusahau lile la Stereo Temeke.
Kwa sisi tuliyofuta matongotongo super market naona ni kwenda kutozwa VAT bila sababu, hao ndio wapo tayari kula mikuku iliyooza kutoka South pale KFC na kumuacha Ally Makuku na vipande vya buku mbilimbili ambapo unatafuna kuku mtamu mpaka kumoyo na chachandu ya dunia.