Eti anapenda vya Supermarket

Eti anapenda vya Supermarket

Visista duu uchwara hivo utakuta huko super market vimeanza kuingia tayari vishaanza kuvaa bra
Kuna kengine juzi juzi kananiambia hakalagi ugali wakati enzi hizo tunasoma, nishaenda kwao tukagonga ugali dagaa tena dagaa za mchuzi, ule mchuzi wa kuloeka vidole kabisa vidagaa vinaogelea mfyuuu.
Kidem cha hivo ni cha kupunguzia nyege tu usije ukaoa
Hahhhahaahahahhhahahah vidagaa vinaogelea hahahhahahh. U made my day.
 
KFC ya bongo wale sio kuku wale. Ni imitation kuku meat.

Sijawahi kula kuku walio bland namna hiyo.

Halafu hata zile herbs za KFC naona hawatumii zile zenyewe zilizompatia Col. Sanders ujiko.
Kinachonishangaza KFC yenyewe ukiwa South Africa iko poa sana kuku wake sijaelewa tatizo liko wapi?

Ila all in nadhani Nandoz ndio wanaongoza kwa kugrill kuku, hawa ni wareno wako poa sana kwenye idara ya kuku.

Tatizo la Bongo hata Jeans ya Levis siyo yenyewe, sisi kila kitu ni kinyume tumebakiza kutembelea kichwa.
 
Kinachonishangaza KFC yenyewe ukiwa South Africa iko poa sana kuku wake sijaelewa tatizo liko wapi?

Ila all in nadhani Nandoz ndio wanaongoza kwa kugrill kuku, hawa ni wareno wako poa sana kwenye idara ya kuku.

Tatizo la Bongo hata Jeans ya Levis siyo yenyewe, sisi kila kitu ni kinyume tumebakiza kutembelea kichwa.

Kweli aisee....we eti unakuta Versace zinauzwa Mwenge....really?
 
Kweli aisee....we eti unakuta Versace zinauzwa Mwenge....really?
Niliona South Africa All Star inakimbizana na bei ya Nike kuja Bongo eti All star buku 20! Watanzania wana utani sana.

Ndio maana hata Mbowe alipochakachuwa Hard rock cafe, Cape Town nilikuta wameandika kabisa Hard rock cafe Cape Town, the only original hard rock cafe in Africa.
 
Visista duu uchwara hivo utakuta huko super market vimeanza kuingia tayari vishaanza kuvaa bra
Kuna kengine juzi juzi kananiambia hakalagi ugali wakati enzi hizo tunasoma, nishaenda kwao tukagonga ugali dagaa tena dagaa za mchuzi, ule mchuzi wa kuloeka vidole kabisa vidagaa vinaogelea mfyuuu.
Kidem cha hivo ni cha kupunguzia nyege tu usije ukaoa
Kumbe Evelyne salt ni mwanaume!!! siku zote najua wewe ni ke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom