sunshine1
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 539
- 294
Duh🙄! Ila ukimpeleka USA atapata access ya antiperspirant usihofu. Ukiona vyaelea vimeundwa yakhe..!Naaah....nitafute jiko kwa wanuka kwapa?
Ain't no snowball's chance in hell.....
Duh🙄! Ila ukimpeleka USA atapata access ya antiperspirant usihofu. Ukiona vyaelea vimeundwa yakhe..!Naaah....nitafute jiko kwa wanuka kwapa?
Ain't no snowball's chance in hell.....
Duh🙄! Ila ukimpeleka USA atapata access ya antiperspirant usihofu. Ukiona vyaelea vimeundwa yakhe..!
Kaka uchawi upo,una nguvu na unawadhuru watu wengi tu ila chamsingi unatakiwa kujifariji na kujipa moyo kua wewe binafsi hautokudhuru,Kweli watu wenye akili ndogo ni mzigo.
Na kupata mwenza mwenye akili ya kutosha (kwani si lazima upate mwenye akili kubwa) ni kazi sana.
Kwa mfano, hivi videmu vya CBE bana vina mashauzi sana. Nadhani vipo hapo CBE kwa sababu kiakili havina uwezo wa kumudu sehemu kama UDSM au SAUT. Hivi hapo CBE ni dampo la waliopata divisheni 4 na 5? Manake vidada vya hapo kwa kujifanya vya viwango tu havijambo.
Kiingereza havijui lakini vinapenda kujifanya vinajua. Sijui nani kavidanganya kuwa ukiongea Kiswahili na kuchomekea chomekea Kiingereza chako cha kuunga unga ndo utaonekana wa kileo, kwamba unaenda na wakati....umestaarabika.
Vingine kweli ni vizuri vya maumbo na sura lakini akili za darasani na hata zile za kawaida tu za kidunia havina. Mjini hapa vinaishi kwa kutegemea zaidi wanaume, tena kwa kiasi kikubwa tu.
Vichwa vyao havina kazi zaidi ya kushonea minywele bandia. Bure kabisa yaani.
Sina takwimu wala nini lakini pia sina shaka kuwa vimdada kama hivyo vinaongoza kwa mambo ya ushirikina. Kuna kimoja hicho kimediriki hadi kunitishia kuwa eti niwe mwangalifu...nitarogwa na wadada nishindwe hata kujielewa.
Kimdada kama hicho hata ukijaribu kukieleza kuwa hayo ni mambo ya usasili tu, ya kufikirika tu, ni ya kiimani tu....hakiwezi kukuelewa kwa sababu hakana ubongo wa kuweza kuchakata hoja zilizo za kinadharia zaidi.
Na ndo maana havijui hata tofauti ya kujua na kusadiki au uhalisia na imani.
Yaani mimi huyu huyu nirogwe? Hahahaaa hivi vimdada bana....huko CBE naona vinafundishwa ujinga tu.
Kajichanganya hasa ameandika kwa jazba....hypocrisy....contradiction.....
Man get the hell on with that bullshit.
That shit don't work nowhere.
Nyani Ngabu;
We don't scare the crow by just screaming. Why don't yu try them? Remember to bring the feed back to us here on jf.
I've offered myself for anybody to put a hex on me for years now.
And guess what...I'm still here.
So obviously that shit don't work.
Nyani Ngabu;
Yu nyani ngabu. I have just told yu. Do not offer yourself as a sheep, no, offerings do not offer themselves. Jaribu kuwachezea hao nilokuambia. Jaribu mdanganye kuwa Am going to marry yu. Go visit her parents and lay her and shit her. That is when yu will tell us that yu are not afraid of that what yu call shit. That is how yu will know whether that shit works or not.
Keshatupiwa jini,maana topic kama hizi sio zake- Exocism inahitajika kumrudisha hali ya kawaidaNyani Ngabu wamekufanya nini tena nephew....
niuzie kesi
Za Morogoro bunti cameraNyani Ngabu nakuendea kwa Mganga wangu "Idukilo" uone kama utachomoka ha ha ha (By the way uchawi imani tuu)

Hahahaha nimecheka kwa sautiKeshatupiwa jini,maana topic kama hizi sio zake- Exocism inahitajika kumrudisha hali ya kawaida
Anaongelea CBE ya mbeleUmerudi toka mbele?

af thread imekaa kihasira hasira!!