Eti ananitishia ushirikina

Mkuu, nimeanza kuona jina lako nilitegemea utakuwa ni mtu mpole, mtaratibu kumbe sivyo. Kila jukwaa hapa jf nikikuta post au comment zako mara zote hunipa maswali mengi sana. Kama ni matusi wewe ndo unajua kutukana, kama ni maneno machafu basi wewe hukutoka haswa. Huna staha yoyote, ila naomba sana kaka Nyani Ngabu punguzo maneno makali pindi unapomjibu mtu hata kama atakuwa amekuudhi maana tunatofautiana kimitazamo. Heshima yako ni kubwa sana hapa jf, hivyo usiivunje kwa sababu ya watu wachache wanaokukera.
 
Anayeamini uchawi ndo anarogwa ila kama huna hiyo imani kama mm hata uniroge mara mia , na mwisho unanyoosha mkono,na kusema nimeshindwa
 
CBE chuo cha waliopata 4,5,0 karibia wote, msibishe nina ushahidi wa mtu aliyepata 0.
mhh pale wanapokea wanafunzi wenye kuanzia ufaulu wa D 3 na kuendelea kwa level ya diploma
na D 5 kwa level ya bachelor.sasa wewe kusema zero ameingia chuo pale utakua umekosea sana
tuonyeshe ushahidi huo kama hutajali
 
Nyani ngabu sorry for saying this mada yako uliyoleta jukwaani leo siyo siri unakidhalilisha chuo na kupotosha umma
huyo uliyokutana nae kama ni kilaza usiconclude kuwa ni wote chuo kizima wako hivyo unakosea sana
pale kuna watu wenye uwezo mkubwa tu na wanajielewa, eti pale wanafundishwa ujinga this is bullshit
kwahiyo huko vyuo vingine hamna vilaza?
BTW iman ya ushirikina na ya mtu binafsi wala siyo ya chuo na kule hawafundishwi uchawi (my thought)
 
mhh pale wanapokea wanafunzi wenye kuanzia ufaulu wa D 3 na kuendelea kwa level ya diploma
na D 5 kwa level ya bachelor.sasa wewe kusema zero ameingia chuo pale utakua umekosea sana
tuonyeshe ushahidi huo kama hutajali
Hizo D 5 za kuingilia bachelor ni za kutoka ngazi ipi? Maana A-level masomo ni matatu. Sasa D5 inakuwaje?
 
uliwahi kusoma hapo ama kinakuwasha tu
 
Nyani Ngabu;
Na weye ulivyo na majidai yako. Ngoja siku unakutana na Mnyiramba umwagie uchaf wako uache kumlipa ndo utakuja hapa ukilia kuomba msaada.
Hulogeki weye nnani? Mnyramba anakutosha weye. Jatibu uone kwa mnyiramba wasingida. Hakikisha una mtu chumbani akumwagie maji ya kuzinduka utakapozimia. Hata miye nlikuwa gaidi ka weye lakini kwa hao nimepoa
 
Wengi wenu mliosoma hapo na wanaoendelea kusoma hapo ni vilaza.
OMBA RADHI KIJANA... WALIOSOMA PALE NDIO WANAUJUA MZIKI WAKE.. HAO VINUKA MKOJO WANAOKUUNGA MKONO HUMU NI WALE WAPUUZI NA MALAYA WANAOKUSHOBOKEA
 
Teh Teh muone haraka mashana jr akupe dawa kabla ujarogwa...!

Kusema ukweli wasichana walio wengi wanategenea sana ushirikina kwenye mahusiano..
Asilimia kubwa na hivi hali imebanwa na waganga wamekuwa wakitumia fursa kuwagegeda wakiwadaganywa ili wampumbaze mwanaume mganga apake dawa kwenye gegedo
 
Kwa Mara ya kwanza sijakuelewa, sidhani kama ni busara kusema aina Fulani wako hivi kisa tu mmojawapo yupo hivyo.
Anyway siku hazifanani...
 
Maneno ya mkosaji kalusha ndoano watu awajamshobokea ndio maana povu linamtoka .MANENO YAMKOSAJI ayo
 
 
Uko katika mchakato wakutafuta jiko nini NN?! Naona post zako zimefululiza ni wadada wa bongo tu this time. Nimewaza tu usinipe za uso hahaha!
 

Man get the hell on with that bullshit.

That shit don't work nowhere.
 
Uko katika mchakato wakutafuta jiko nini NN?! Naona post zako zimefululiza ni wadada wa bongo tu this time. Nimewaza tu usinipe za uso hahaha!

Naaah....nitafute jiko kwa wanuka kwapa?

Ain't no snowball's chance in hell.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…