ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,263
- 85,135
Hakuna cha mkeka mkali ,standard ni moja mwanzo mwisho kuanzia mpaka wa Iringa na moro had igawa na sijui itafika lini Mbeya japo kwa sasa rehabilitation imekomea igawaIyovi mafinga walijitahidi.. japo kuna maeneo walizingua.. ila ni moja ya barabara za kimataifa tanzania. Mafinga igawa iliyo zinduliwa na magufuli juzi ni balaa.. ni mkeka mkali kuliko yote tz.
Sent using Jamii Forums mobile app
