Hizi ndio siasa za dunia ya tatu, hawa ni viti maalumu kwa ticket ya bunge na si CDM. Chama huteua na kukabidhi orodha NEC, hili halikufanyika. Serikali imefanya hili kukwepa rungu la wafadhili kuhusu kamati za kusimamia fedha zao. Wanajua nini kimefanyika, kuridhia ni muda utaongea.Anaongea kwa kiburi kwa sababu jana usiku walikutana na meko na spika, meko kawahakikishia kuwa hakuna wa kuwagusa iwe mahakamani ama wapi.. ester atakuwa naibu spika na mdee pia atakuwa naibu spika.imeisha hiooo. dont trust politicians