Ester Matiko: Kama Chama kikiona kuna mwingine anafaa zaidi ya Ester Matiko, niko tayari

Anaongea kwa kiburi kwa sababu jana usiku walikutana na meko na spika, meko kawahakikishia kuwa hakuna wa kuwagusa iwe mahakamani ama wapi.. ester atakuwa naibu spika na mdee pia atakuwa naibu spika.imeisha hiooo. dont trust politicians
Hizi ndio siasa za dunia ya tatu, hawa ni viti maalumu kwa ticket ya bunge na si CDM. Chama huteua na kukabidhi orodha NEC, hili halikufanyika. Serikali imefanya hili kukwepa rungu la wafadhili kuhusu kamati za kusimamia fedha zao. Wanajua nini kimefanyika, kuridhia ni muda utaongea.
 
Wewe umeandika upuuzi mtupu sasa wabunge hawa wameshakula mlungula na keshokutwa wanapewa unaibu waziri kwa maslahi yao binafsi na matumbo yao lakini wamewasaliti Watanzania milioni mangapi waliokuwa wakiungana kuwachangia katika matatizo mbali mbali yaliyowakuta wakiwa na Chadema halfu unakuja na lugha nyepes namna hii hapa jf? unafkiri Halima mdee ana habari tena na watu wa Kawe sijui kigamboni? angalia kina wale Kafulila, Machali, Lowassa, Lipumba, Sumaye, dr slaa, sijuwi Mashinji nk. hawa woote umewahi kusikia wakiikosoa serikali? kila mmoja ni yeye na alichopatana kupewa akaendesha maisha yake.

Hawa kina mdee unafkiri atasema nini bungeni wakati bosi wake ni Magufuli? Ata jambo hili unahitaji darasa la uelewa.
Wamepewa pesa? Cash au kupitia akaunti zao? Wafungulieni kesi ya "Money Laundering"
 
Mi naona haya yote tungeendelea kumvutia subira boss wao atakuja tu kulimaliza na litapita.
FB_IMG_16063025915895681.jpg



MAGUFULI4LIFE.
 
Wamepewa pesa? Cash au kupitia akaunti zao? Wafungulieni kesi ya "Money Laundering"
Waulize wao kwanini wamekwenda kinyume na chama chao muda huu ambao ni mgumu kwa upinzani, tangia mwanzo hawa Mdee lengo ni hela tu hawana sasaivi rangi zao zimekuja juu zaidi
 
Hao wanatakiwa kufutwa uanachama haraka sn
Hawa ndiyo watakaofanya wanawake wasiaminiwe kuongoza Taasisi nyeti, maana wote hao ni very senior kwenye uongozi nini kimewapata? njaa ya hela? tamaa ya madaraka? au wameamua tu kukikomoa chama chao? kama hivyo ndiyo kukikomoa ili wapate nini? ukizingatia karibu wote hao walinyanyaswa vibaya mno na vyombo vya dola wakati wa kampeni.

Kwanza kabisa kama mnakumbuka walianza wale wabunge wa viti maalum wakasema Mbowe na viongozi wengine wa CDM amekuwa akiwabaka mfululizo kwa miaka 5, sasa unajiuliza mama zima la miaka 40 linabakwaje miaka 5 huku lenyewe likiwa linatunga sheria na lisiseme?

Sasa limekuja na hili tena.. aise.
 
Hawa ndiyo watakaofanya wanawake wasiaminiwe kuongoza Taasisi nyeti, maana wote hao ni very senior kwenye uongozi nini kimewapata? njaa ya hela? tamaa ya madaraka? au wameamua tu kukikomoa chama chao? kama hivyo ndiyo kukikomoa ili wapate nini? ukizingatia karibu wote hao walinyanyaswa vibaya mno na vyombo vya dola wakati wa kampeni.

Kwanza kabisa kama mnakumbuka walianza wale wabunge wa viti maalum wakasema Mbowe na viongozi wengine wa CDM amekuwa akiwabaka mfululizo kwa miaka 5, sasa unajiuliza mama zima la miaka 40 linabakwaje miaka 5 huku lenyewe likiwa linatunga sheria na lisiseme?

Sasa limekuja na hili tena.. aise.
Hii ni move ya CCM mkuu
 
Unamwamini mwanasiasa? Ukapimwe akili, mwanasiasa haaminiki hata siku moja, wengi ni waongo, wanafiki, wasaliti, wachumia tumbo na "matapeli" katika tasnia yao.

Eti, "tulikuamini"! Ndugu kapimwe kuanzia cerebrum hadi medulla!
 
Kwa maoni yangu, wananchi tunahitaji watu wa kutusemea Bungeni hata kama ni wachache. Wale wengi wapo upande wa serikali hivyo hawatakuwa upande wetu sana; hawa 20 ni bora waachwe tuu kwani wachache hupewa nafasi kubwa ya kusikilizwa naamini tutawakilishwa vyema.

Hayo mengine yaliyotokea kwa kuwa wanasiasa wengi huubiri suala la KUJIAJIRI ni vizuri NAO wakajiajiri hii miaka mitano.
Kuwakilishwa vyema kunategemea na jinsi walivyoingizwa bungeni.
 
Mimi hao wengine wote sina muda nao, nalia na Halima tu mimi.
Halima amekivunja chama kabisa, Halima tulimuamini na kumpa jeshi letu la wanawake na nilitegemea pasi na shaka Mbowe akistaafu uwenyekiti basi kama sio Lissu, Heche basi ni yeye!
I’m disappointed
Halima ndio mwanamke pekee CHADEMA?
 
Kwa maoni yangu, wananchi tunahitaji watu wa kutusemea Bungeni hata kama ni wachache. Wale wengi wapo upande wa serikali hivyo hawatakuwa upande wetu sana; hawa 20 ni bora waachwe tuu kwani wachache hupewa nafasi kubwa ya kusikilizwa naamini tutawakilishwa vyema.

Hayo mengine yaliyotokea kwa kuwa wanasiasa wengi huubiri suala la KUJIAJIRI ni vizuri NAO wakajiajiri hii miaka mitano.
Umeandika upumbavu tu. Kwani wabunge wa CCM wanawasemea kina nani? Nani alikuambia mbunge anaiwakilisha serikali?
 
Lisu kabariki wabunge hao 19 wakiongozwa na mdee kuapa na kujumuika kuijenga nchi, sasa Mnyika ni nani mbele ya Mbowe na Lisu?!?!
Taifa kwanza vyama badae, tujenge nchi yetu tuache chuki na malumbano.
Hongereni wabunge 19 mlioapa mkiongozwa na mdee
 
Lisu kabariki wabunge hao 19 wakiongozwa na mdee kuapa na kujumuika kuijenga nchi, sasa Mnyika ni nani mbele ya Mbowe na Lisu?!?!
Taifa kwanza vyama badae, tujenge nchi yetu tuache chuki na malumbano.
Hongereni wabunge 19 mlioapa mkiongozwa na mdee
Thibitisha kwamba Lisu kabariki!
 
Mimi hao wengine wote sina muda nao, nalia na Halima tu mimi.
Halima amekivunja chama kabisa, Halima tulimuamini na kumpa jeshi letu la wanawake na nilitegemea pasi na shaka Mbowe akistaafu uwenyekiti basi kama sio Lissu, Heche basi ni yeye!
I’m disappointed
Pengine ni DANGA haachi asili!
 
Back
Top Bottom