Mkuu jaribu kufikiria nje ya Box kwenye orodha hiyo ya wabunge yumo mke wa John Mrema na mke wa Mwaalim, Ester Matiko sasa bado unaendelea kusumbua kichwa chako tuuu!!Kwa sisi tunaojua kuunga dot hili changa limetoka CCM ili kuidhalilisha chadema kupitia spika .NEC na jiwe
Yaan apo ata CHADEMA iwafukuze uanachama kaz bure tu watatetewa na spika katiba imeekwa kapuni nanukuu tu
"Mm ni kichaa ma ndio maana nimechagua vichaa wenzangu "