Ester Bulaya alivyovunja mwiko Bunda

Ester Bulaya alivyovunja mwiko Bunda

Ushatutangazia kuwa nawe unasagwa
Mmawia bwana. Unatumiaga nguvu nyingi mno kamanda hata kwenye hizi ishu ndogo ndogo tu. Mimi nimeweka tu umbea wa Shigongo we huyoo tayari ushaniwakia. Relax kamanda. Hata kama hizi tetesi za hawa mabinti kusagana ni za kweli so what?
 
Mmawia bwana. Unatumiaga nguvu nyingi mno kamanda hata kwenye hizi ishu ndogo ndogo tu. Mimi nimeweka tu umbea wa Shigongo we huyoo tayari ushaniwakia. Relax kamanda. Hata kama hizi tetesi za hawa mabinti kusagana ni za kweli so what?
Kwa hiyo unaona Wivu hao ma bint kusagana,ulikuwa unataka usagwe wewe sio ?
 
Kama kuna jambo linalo muuma na kumkera mzee Wasira mbunge wa zamani wa Bunda basi ni kitendo cha kunyang'anywa kitumbua chake mdomoni.

Aliye amua kumtesa mzee wetu Wasira siyo mwingine bali ni binti wa Bulaya na akawa kavunja mwiko pale mkoani kwetu Mara kwa kumshinda gwiji wa siasa mzee Wasira.

Hakika huyu binti ni mpambanaji wa kweli wa mambo ya siasa na kimaendeleo.View attachment 1208108
uyu ni zaidi ya vikaka vyote vya CCM wazazi
 
Kama kuna jambo linalo muuma na kumkera mzee Wasira mbunge wa zamani wa Bunda basi ni kitendo cha kunyang'anywa kitumbua chake mdomoni.

Aliye amua kumtesa mzee wetu Wasira siyo mwingine bali ni binti wa Bulaya na akawa kavunja mwiko pale mkoani kwetu Mara kwa kumshinda gwiji wa siasa mzee Wasira.

Hakika huyu binti ni mpambanaji wa kweli wa mambo ya siasa na kimaendeleo.View attachment 1208108
Huyu ni mwanamke wa shoka, kitaaluma ni mwandishi wa habari.
Wengi ndio wamemjua baada ya kumtwanga
kwa knock out Tyson Wasira. Angalia tarehe ya bandiko hili uone sisi wengine tulimfahamu lini kuwa hiki ni Chuma cha pua.


P
 
Njaa mbaya sana umeamua kujipendekeza!
Kama kuna jambo linalo muuma na kumkera mzee Wasira mbunge wa zamani wa Bunda basi ni kitendo cha kunyang'anywa kitumbua chake mdomoni.

Aliye amua kumtesa mzee wetu Wasira siyo mwingine bali ni binti wa Bulaya na akawa kavunja mwiko pale mkoani kwetu Mara kwa kumshinda gwiji wa siasa mzee Wasira.

Hakika huyu binti ni mpambanaji wa kweli wa mambo ya siasa na kimaendeleo.View attachment 1208108
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom