Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
- Thread starter
- #61
Asante sana mkuu kwa kuwa mchambuzi mzuri wa mambo ya kisiasa.
Ingawa kuna wakati nawe unachomoa betri
Ingawa kuna wakati nawe unachomoa betri
Huyu ni mwanamke wa shoka, kitaaluma ni mwandishi wa habari.
Wengi ndio wamemjua baada ya kumtwanga
kwa knock out Tyson Wasira. Angalia tarehe ya bandiko hili uone sisi wengine tulimfahamu lini kuwa hiki ni Chuma cha pua.
![]()
Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, ni mbunge pekee aliyesaini petition ya Zitto ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu!
Wanabodi, Katika pita pita yangu viunga fulani hapa mjini Dodoma, nimepita mahali nikukata baadhi ya watu na heshima zao, wakimsifu huyu mbunge kijana wa CCM, Mhe, Esta Bulaya, kuwa amefanya tukio kubwa la ushujaa mkubwa katika medani za siasa. Kwa jinsi nilivyosikia kuhusu alichokifanya...www.jamiiforums.com
P