Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,815
- 71,261
Hapana hizo ni za 1975. Umefurahi?Mmeanza kuweka picha za 2015!
Maana naona unateseka sana
Hapana hizo ni za 1975. Umefurahi?Mmeanza kuweka picha za 2015!
Hapo hata Mama Maria Nyerere najua kuwa amefarijika sana kwa kuona muitikio mkubwa wa watu ambao hawabebwi na malori. Watu ambao kwa hiari yao wamejitokeza na kwenda kusilikiliza sera za maendeleo ya watu.Mbunge wa bunda mh Ester Bulaya leo hii amefanya mkutano wa ufunguzi wa kampeini kwa kishindo kikuu mjini bunda.
Mkutano huu imekuwa ni majibu tosha kwa mkutano wa jana wa mgombea wa ccm ulio fanyika musoma huku yakitokea ya kutokea kama tulivyo sikia.
Hizi ni salaam kwa wana ccm kuwa safari hii wananchi wameichoka kabisa.
Tanzania bila ccm inawezekana. View attachment 1561909View attachment 1561910View attachment 1561911
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuu na hizi alizofanya Ester ndiyo siasa zinazo kubalika bila kutumia mihipa ya shingoHapo hata Mama Maria Nyerere najua kuwa amefarijika sana kwa kuona muitikio mkubwa wa watu ambao hawabebwi na malori. Watu ambao kwa hiari yao wamejitokeza na kwenda kusilikiliza sera za maendeleo ya watu.
Sera zenye harufu nzuri ya uhuru, haki na maendeleo ya watu. Si zile za kubagaza watu na kuwatia hofu, ili kuwalazimisha wasifanye uchaguzi wa yule na wale wanaowataka wawe viongozi wao.
Kupigwa risasi kwa Lissu mwananchi wa kawaida akumuhusu.labda kama mnahitaji kura za huruma ambazo amuwezi pata kamwe.
Nafatilia kampeni za mgombea wa CCM sijawai kusikia hoja za kibaguzi.
nachosikia mimi ni sera mwanzo mwisho.
7*7000/=!Simaanishi kukudharau , ila mkuu huonagi aibu kuandika vitu kama hivi?
Mtu huyo moja amesema Katiba siyo kipaumbele chake ili ajinufaishe yeye na watu wake pamoja na genge lao.Hiyo Ni matokeo ya katiba mbovu, mtu mmoja anazuia maendeleo wakati Kuna bunge
Wana akili timamu zitakazoendelea kuwakosti. Maji tu shida hapo na Bulaya hana uwezo wa kuwapelekea maji. Wasira alipelekaga mradi wa kuchimba mbwawa chini ya Ikuzu kule, tangu Bulaya aingie limekuwa josho la mifugo na hakuna cha mradi wala babu yake mradi.Safi sn wana bunda.... Nyie mnaakili timamu
Walisavaivu mabadiliko na mafuriko ya Mamvi. Mie 2015 nilikuwa nauhakika 100% CCM kwishneyMambo ni magumu kwa ccm
Ukiangalai kwa makini hizo picha,wananchi wanaonekana kabisa wanashangaa,hawaelewi kinachoongelewa kwenye jukwaa hakiusiani na maisha yao ya kawaida.
Hebu nisaidieni, hivi usemi maendeleo hayana vyama maana yake ni nini!
Nitafurahi Mzee Magufuli atangaze akishinda majimbo waliyochaguwa upinzani hatokusanya kodi na ofisi za TRA kwenye maeneo hayo atazifunga.Wananchi wa nchi hii hivi sasa hawaogopi tena vitisho vyake Jiwe na chama chake cha CCM..............
Eti sitaleta maendeleo kwenye maeneo watakayochagua wapinzani!
Utadhani hiyo pesa ya maendeleo anaitoa mfukoni mwake yeye mwenyewe Jiwe, wakati ni pesa inayotoka Hazina, ambapo ni pesa za walipa kodi wa nchi hii, wanaccm na wana Chadema na wasio na chama.
Kwa ubaguzi anaoonyesha wazi wazi, basi ni bora angewatangazia wananchi hao anaowatisha ili awaeleze pia iwapo watachagua wapinzani hawataendelea kulipa kodi
Safu ya watu walisimama mbele ingekuwa mkutano wa ccm wangekuwa wamejazana watoto watupuView attachment 1561814View attachment 1561815View attachment 1561816
View attachment 1561883View attachment 1561884
Huu ni umati wa Wananchi wa Bunda ambao pamoja na vitisho vya Mgombea mbaguzi wa urais wa ccm kwamba hawatapewa maendeleo kwa kuchagua upinzani , bado ukaamua kujitokeza kibabe na kukata ngebe zote.
Hao watoto unaowaona hapo uchaguzi ujao wanapiga kura,washaingiziwa kitu kwenye bongo zao hutowaambia kitu wakakuelewa ni CCM mwanzo mwisho.Hivi unafikiri CCM bila policcm , tumeccm , tissccm maafisa vipenyo CCM wana kitu , hamna mwananchi anayewataka kabisa nchi nzima , Mpaka wanasomba watoto kwenye mikutano Yao Mpaka aibu aiseeeView attachment 1562074View attachment 1562076
Una matatizo wewe sio bureMmeanza kuweka picha za 2015!