Chama cha Mapinduzi
Member
- Aug 8, 2013
- 10
- 33
Leo, Septemba 6, 2020, Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Joseph Pombe Magufuli yupo safarini kuelekea jijini Mwanza kwa uzinduzi rasmi wa Kampeni za CCM mkoani humo.
Fuatana nasi kwa updates za kinachojiri
MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA KISESA MWANZA
Wananchi wa jiji la Mwanza wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika maeneo ya Igoma, Nyakato Buzuluga na Mabatini jijini Mwanza kumpokea Mgombea wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambaye amewasili mkoani Mwanza kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni za Urais
Mapokezi ya Mgombea Urais eneo la Kisesa jijini Mwanza
Fuatana nasi kwa updates za kinachojiri
MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA KISESA MWANZA
Wananchi wa jiji la Mwanza wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika maeneo ya Igoma, Nyakato Buzuluga na Mabatini jijini Mwanza kumpokea Mgombea wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambaye amewasili mkoani Mwanza kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni za Urais
Mapokezi ya Mgombea Urais eneo la Kisesa jijini Mwanza