Estar Bulaya aachiwa huru

Spekar ametoka wapi hapo na spekar na mambo ya polisi ni wapi na wapi
 
Hilo ndilo jeshi la Polisi.. Wanatumia nguvu kuliko akili


1. Walimkamata Mbowe Dar... Wakakodisha ndege kumpeleka Arusha kama Jasusi.... Baada ya kumfikisha Arusha akaachiwa.


2. Walimkamata Kilewo na kumpeleka Tabora kama gaidi.. Mwisho wa siku walimuachia baada ya kuonekana ni upuuzi.


3. Walikodisha Helkopta kumbeba Shekhe Ponda Dar to Morogoro.... Mwisho ilionekana ni ujinga.. Wakamuachia.




Lini jeshi la Polisi watatumia akili kulilo hivi sasa wanapofanya ujinga wa wazi wazi.
 
kwa ujinga huu wa leo kuna haja ya kuangalia muundo wa jeshi la polis na watoa amri wengine. gharama hizi zisizo za lazima zaweza kuzuilika.....
 
Hilo ndilo jeshi la Polisi.. Wanatumia nguvu kuliko akili


1. Walimkamata Mbowe Dar... Wakakodisha ndege kumpeleka Arusha kama Jasusi.... Baada ya kumfikisha Arusha akaachiwa.


2. Walimkamata Kilewo na kumpeleka Tabora kama gaidi.. Mwisho wa siku walimuachia baada ya kuonekana ni upuuzi.


3. Walikodisha Helkopta kumbeba Shekhe Ponda Dar to Morogoro.... Mwisho ilionekana ni ujinga.. Wakamuachia.




Lini jeshi la Polisi watatumia akili kulilo hivi sasa wanapofanya ujinga wa wazi wazi.
 
Sitaki kusema chochote ILA ninahisi kama hii Ni njama za kuwauwa
 
mbona sababu ya kijinga hvyo??
 
Ktk waropokaji basi wewe unajitahidi. Sasa dini inaingiaje hapo?NGOs huwa hazifanyi kazi kwa kushinikizwa.
 
Basi mwenyewe hapo kafurahii, maana huwa wanependa sana kukamatwa na polisi halafu wakiachiwa waongee na vyombo vya habari, wakirudi huko wanapongezana kwa kuitana makamanda, hawa ni wa kuwaacha tu tuone kama watakamatana wenyewe.
 
Basi mwenyewe hapo kafurahii, maana huwa wanependa sana kukamatwa na polisi halafu wakiachiwa waongee na vyombo vya habari, wakirudi huko wanapongezana kwa kuitana makamanda, hawa ni wa kuwaacha tu tuone kama watakamatana wenyewe.
Naona nzi uliyoona kinyesi umewasili
 
Mh Estar bulaya mbunge wa bunda akiwa kwenye office ndogo za bunge jiji daresalam baada yakuachiwa huru na mda huu anaelekea airport kwa ajiri ya safari yakwenda mwanza kwenye kikao cha kamati kuu..
Pole sana kamanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…