Escrow ''yamruka'' Zitto Kabwe

Escrow ''yamruka'' Zitto Kabwe

Sijawahi kuona makala ya kijinga kama hii, Kama siyo ZZK kumgalagaza Mhongo kwa hoja, si Mhongo alikuwa amedilute hoja za PAC kiujanja, lakini Zitto siku ya pili yake aligongelea kwa utaalam mkubwa,tena kwa hoja nzito na fact kiasi cha kumgaragaza yule profesa!.Kafulila na Zitto ni Masterling halisi wa ile movie ya Escrow
 
Hata mimi mimi nilishalitafakari hili kwa muda mrefu sana.
-kamanda mnyika aka sema nanukuu "hata na wewe zito??


><hii ilikuwa ni zaidi ya kashifa kwa zitto huyu anayejiita mpinga ufisadi!

Hafai,hafai,haaaafai!!
 
OKW BOBAN SUNZU

Habari nyingine jamani zinaudhi sana hasa ukifikiria kutafakari kwa Watanzania - IQ ndogo kabisa!. Sasa walitaka Zitto ndiye aibue sakata la Escrow halafu yeye tena kupitia PAC awe mkaguzi wa sakata hilo hilo?.. lazima kitu kipangwe awepo mtu wa kuibua hoja ili spika iridhie na kuwasilishw akama muswada kisha ndio kamati ya bunge ya PAC ihusishwe.

Na wamechaguliwa viongozi wa kamati hizo kutokana na uwezo wao na sii siri Zitto anaiweza kazi hiyo. Na isitoshe Kafulila na Zitto ni watu waloitwa tumbili kutokana na ushirikiano wao ktk maswala ya Bunge. Sakata la Richmond kwani alolipeleka bungeni alikuwa Dr. Mwakyembe? au ndiye aliongoza tume kuchunguza na msiwazungumzie wengine wote walokuwa ktk tume hiyo ila Mwakyembe hadi akapewa sumu! Na kwa nini hamzunguzii alolipeleka Bungeni - au hata hamumjui!

Sasa hao wanaoweka madai wao kama wabunge waliwahi kuwakilisha nini? Majuzi tu Mnyika kalirudisha swala la Escrow bungeni haina maana kwamba Mnyika ndiye mwanzilishi isipokuwa yapo maswala ambayo hayakuongelewa bunge lilopita na itaamsha tuhuma nyinginezo kama account ya Stanbik. Na kila mmoja wa wabunge wetu anaifanya kazi hiyo sii kwa kujitafutia sifa isipokuwa ndio njia pekee ya kukomesha Ufisadi.

Huu wivu wa kichawi ambao ni asili ya Wadanganyika kila siku mtu akipanda juu mnataka kumshusha, kwani nyie hamuwezi kutumia vichwa vyenu mkapanda? Zaidi ya hapo swala la mkataba wa IPTL na Tanesco lilikuwepo tayari bungeni limerudishwa na Kafulila kutokana na utafiti alopewa juu ya account ya Escrow, Wewe na mimi tu ndio tulikuwa hatujui lakini wabunge wengi ikiwa ni pamoja na wa Chadema walikuwa na taarifa hizi tayari.
 
Last edited by a moderator:
Mjadala wa Escrow umeshafungwa,Mliudanganya umma kuwa fedha si za umma lkn baadae ukweli ukawekwa hadharani,Maazimio yalishatolewa na wezi wamesha beba msalaba wao.

Wewe kama hujatumwa na tibaijuka umetumwa na werema au Singasinga,Mwsmbir kuwa hali ni tete Zitto analindwa kama rais kutokana na mchango wake kwa taifa.

Msalimie Rugemalila Mwambie alimsahau Mbowe kwenye mgao.
 
OKW BOBAN SUNZU

Hivi bado unaimani na Kibenea ambae amegeuka na kuwa Dalali wa Lowassa.

Tangu alipojongwa nyumba na kudhaminiwa kusoma nchini Afrika ya kusini,kubenea amebadilka kutoka kubenea mwanaharakati na kugeuka kuwa Dalali.

Hana credibility yoyote ya kunikuliwa,ni mtu ambae Njaa ipo kichwani.

Hivi ile kesi ya Kafulila mliyodai kuwa awalipe Bil 300 mpaka leo bado mnaiendeleza au Mliufyata?

Hivi bado pesa ni za Mtu binafsi ai mmekubaliana wazalendo kuwa pesa zilikuwa za umma.

Msalimie Werema na Mama Tibalijuka,mwambie Mboga za Mil 10 anaenda kubeba na Suzuki Carry?

Ha ha ha,tafuta kazi kijana hiyo unayofanya ni kazi za ukibaraka.
 
Last edited by a moderator:
OKW BOBAN SUNZU

Said Kubenea kweli kachoka.Hizi udaku zake sasa anazidi kujidharirisha.Njaa mbaya sana
 
Last edited by a moderator:
Uko kama mm mkuu tena hadi sauti zikasikika zikisema hata wewe! Hata wewe!

Ninachokumbuka zitto alicheza na akili ya spika na kma île hoja ingepita hâta PM alikuwa anaenda ndo wajanja wakamtonya spika akaifuta
 
Nchi hii i audhi sana mambo mengine, kama una roho nyepesi unaweza ukazira kabisa.

Yaan mtu anayejiita muandishi wa habari anaandika uharo kama huo na watu wanashangilia?upumbavu mkubwa.Mnaishi kwa propaganda kwenye kila kitu?shame on you Said Kubenea.
 
ndo nilichojiungia JF

okw boban.
haya maandishi yako yanalisaidia nini taifa lako juu ya kuiondoa ccm madarakani?
badilika kijana hata mtoto mdogo ukimwambia haya maandishi yanatoka wapi atakuambia niwanasiasa wapuuzi wa cdm.cdm kuna viongozi wazuri na kuna viongozi wehu kama walivyo ccm.haileeti maana kijana kama wewe
 
Nchi hii i audhi sana mambo mengine, kama una roho nyepesi unaweza ukazira kabisa.

Yaan mtu anayejiita muandishi wa habari anaandika uharo kama huo na watu wanashangilia?upumbavu mkubwa.Mnaishi kwa propaganda kwenye kila kitu?shame on you Said Kubenea.

inaleta kinyaa kweli.vijana wasomi wanashindwa kumjua kubenea anatumika nanani.taifa linaangamia kwakuwa na vijana wafinyu kufikiri
 
Back
Top Bottom