gwijimimi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 7,344
- 3,616
ataanzia wp?Zito njoo ujibu hizi nondo
hakawii kumwaga machozi na kusema hauna hata huruma mnanisema wakat mama yangu amefariki
ataanzia wp?Zito njoo ujibu hizi nondo
Ninachokumbuka zitto alicheza na akili ya spika na kma île hoja ingepita hâta PM alikuwa anaenda ndo wajanja wakamtonya spika akaifuta
Nijuavyo mimi ni kwamba kazi ya kamati za bunge ni kuisimamia serikali hivyo PAC wanatazama wajibu wa serikali na mashirika ya Umma tu kutokana na repoti ya Mkaguzi mkuu wa mahesabu ya serikali ambayo ilionyesha wapi kumetokea rushwa ama ufisadi. IPTL na Tanesco ni mashirika ya Umma na PAP ni shirika binafsi..Mkandara kwa nini Zito alifunika taarifa za Stanbic Bank wakati fedha nyingi za Escrow zilipitia huko, zikibebwa na masandarusi???
Inanatia shaka alikuwa anamlinda nani??
Tatizo ni kwamba Mnyika na Lissu walikuwa wanamtaka Profesa Muhongo tu baasi, hawa watuhumiwa wengine hawakuwa na interest nao, ndiyo maana Zitto kwa weledi wake alitambua lile Azimio la Chenge lilikuwa Linawachapa watuhumiwa wote, Lakini akina Mnyika hawakulitaka kwa sababu walitaka waone knockout ya on the spot kwa Muhongo. Laiti akina Mnyika wangekuwa na nia ya dhati kuwashughulikia watuhumiwa wote akiwemo prime minister, then leo hii mamlaka za uteuzi ambayo ni Prezidaa ingekuwa imewekwa kikaangoni kumshughulikia PM. Wenje peke yake na Zitto ndo waligundua opportunity kama hiyo kwenye lile pendekezo la Chenge, wengine walikuwa na Vandetta dhidi ya Muhongo, ndo maana walipoenda kwenye kamati ya maridhiano wakamchomoa Pinda in exchange ya kuhakikishiwa kuwa Mhongo anaondoka!
Mkuu mbona unapenda kupotosha sana...ebu toa ushahidi ni lini Zitto aliwahi kuitwa 'tumbili' a.k.a ngedere...!!!....
Na wamechaguliwa viongozi wa kamati hizo kutokana na uwezo wao na sii siri Zitto anaiweza kazi hiyo. Na isitoshe Kafulila na Zitto ni watu waloitwa tumbili kutokana na ushirikiano wao ktk maswala ya Bunge. ....i.
Duh Mkuu wangu nimewasoma humu JF sii mara moja wala mbili Zitto akiitwa Tumbuli maana Werema kama alianzisha jina hilo kwa Kafulila basi likawa ndio msemo, na Zitto aliitwa tumbili vile vile juu ya fedha zilizopekwa Uswiss. Sema itakuwa kazi mpya kuanza kutafuta nukuu hizo lakini kinachosemwa mimi hukiweka maanani na sisahau. Kifupi Zitto ameifanya kazi alokabidhiwa kwa uhodari mkubwa na pasipo woga na anastahili sifa na tusubiri watakao shika kamati hiyo wataiendelezaje? PAC haikuwa hivi kabla ya Zitto.Mkuu mbona unapenda kupotosha sana...ebu toa ushahidi ni lini Zitto aliwahi kuitwa 'tumbili' a.k.a ngedere...!!!
Mbona kuna tetesi alivuta 500m kutoka kwa Singasinga?[/QUO
Tetesi tetesi tetesi mpaka lini watz tunapenda sana umbea eeeh mungu tusamehe bure watz.
umekosa mtu wa kumtolea mfano mpaka umtaje Kamanda Mbowe?Nijuavyo mimi ni kwamba kazi ya kamati za bunge ni kuisimamia serikali hivyo PAC wanatazama wajibu wa serikali na mashirika ya Umma tu kutokana na repoti ya Mkaguzi mkuu wa mahesabu ya serikali ambayo ilionyesha wapi kumetokea rushwa ama ufisadi. IPTL na Tanesco ni mashirika ya Umma na PAP ni shirika binafsi..
Hivyo walichokifanya PAC ni ukaguzi wa jukumu walopewa na sio kuingilia mashirika yasokuwa ya Umma. Ila bunge linaweza kuomba ama kuunda tume maalum ya uchunguzi wa swala zima la PAP wakawekwa kitimoto kama inavyofanyika nchi za magharibi. Kule Stanbic ndiko kuna moto mkubwa wa PAP ya Singasinga hawataki paguswe maana naamini wenye hsa ni wakubwa hata Ruge alitumiwa tu kuna wakubwa nyuma ya hisa zake.
Hata wewe ukiwa Auditor wa Chadema huwezi kufanya auditing Stanbic ikiwa kuna fedha Mbowe kazichukua na kuweka huko. Bank inakuwa na siri baina yake na Mteja hadi pale mashtaka ya Mbowe yatakapo fika mahakamani na mahakama ikatoa mwongozo wa bank kutoa taarifa za account ya Mbowe. Na bahati mbaya sana bunge letu halina meno na ndio maana unaona kuna baadhi ya viongozi hugoma kutoa ushahidi ama repoti zinazotakiwa bungeni kwa sababu tuna sheria butu zinawalinda mafisadi kwa kuogopa mashirika binafsi ati yanaweza kuondoka nchini - Only in Tanzania!
Zito ni mnafiki,aseme nani kaficha hela za uswisNdugu wana bodi,
Wakati Zitto akihutubia katika kata ya Nguruka leo asubuhi, amewaeleza wananchi wa Nguruka kuwa hajawahi kuwa kibaraka wa CCM na hajawahi kuwa mchoyo kushirikiana na wenzake katika kuisogeza Kigoma mbele na kuiwajibisha serikali ya CCM.
Kwani hata kwenye hoja ya ESCROW, yeye ndiye aliyempatia Kafulila nyaraka zote wakati ule mama yake akiwa anaumwa, na akasema wananchi wa Kigoma Kusini wasivunjike moyo kwa maneno ya propaganda.