Senator Hans
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 599
- 377
Yaaan wewe Unatetea wizi wa CCM how much they pay YOU ????Angeweza kama angepata Support. Kila kukicha ni kumkashifu,kumvunjia heshima, kudharau, kumdhalilisha kumtukana n.k Halafu eti unataka afukue vya mtangulizi wake kwa watu wasio na shukrani kama ninyi. Naamini na yy ameona ninyi si wa kuwakimbilia. Unafikiri nani atakuwa mfariji wake. Mimi nahakika Magu angeweza kufanya yasiyotarajiwa kwa kuwa ana uthubutu ila ss anamfanyia nani? Ss tuliowanafiki hata shukrani hatuna. .ili akikorofishana na wenzake tukae tumcheke. ..peleka huko upuuzi wako !!
Yaani kwa mawazo yako yoote umeona mawazo ya members woote aproxmately 99.9% wanalaan huuu uchwara wa viongozi umeona hayafai ???
Asa unalialia et wakuu wakigombana mara ss tukae na kuwacheka, wat's important mkuu kulipigania taifa akakosana na mmoja au kumlinda mmoja akawaumiza mamillion ya watz ??
Naamini unaakili timamu ndo maana uko hum tumia ubongo wako vizur CCM sio Mama wala Baba ako
