radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Hivi yeye hakunufaika kweli? maana naona hataki hata kulisikia. na wahusika wakuu ndo kawapa nafasi mbalimbali serikalini wajilinde vizuri!!!!!
cc: muhongo.
Hivi yeye hakunufaika kweli? maana naona hataki hata kulisikia. na wahusika wakuu ndo kawapa nafasi mbalimbali serikalini wajilinde vizuri!!!!!

Huku ulidondoka kimakosaI see. Nimesoma yote ila hili linahitaji akili nyingi kuchangia pamoja na ujuzi wa sheria. Akili yangu inatosha jukwaa celebrities na MMU.
Akigusa moto huuu najiunga CCM kumpiga Tafu
kwanini sikumfaham Ruge toka zaman niwe naye karibu nimpige juju ya kufa mtu hata niambulie tu kabilion. Yani ingekuwa hivyo ningempiga kembola ya hatariiiKatika mradi huo sidhani Ruge alikuwa kachanga hata senti kununua ile mitambo na kuisimika,yeye katika ubia huo alikuwa katoa shamba lake la mihogo kama plot,
nadhaani malipo yalipotoka singer akaona uzito kugawana na ruge ambae hakuwa na mchango wa pesa katika mradi zaidi ya kiwanja na kuwa na connection serikalini.
Ni baada ya ruge kuona yeye kama mbia anaweza asiambulie kitu ndo kaenda mahakamani,na singer akaona isiwe tabu kama mradi ukiwa wake na akamudu kuzalisha megawat 500 atakula hela ndefu kuliko vile vijisenti,akaamua kununua zile asilimia 30 za hisa za Ruge kwa bilioni 75,akampay off,
Ruge ambaye alikuwa hajawahi kukamata kitita kama hicho akapagawa,akaanza kulipa fadhila,
sijui ile plot aliipataje,ruge akampa tibaijuka bilion moja,kumbuka kipindi hicho tibaijuka alikuwa waziri wa ardhi,nadhani ile haikuwa rushwa bali shukrani,akakumbuka pia maaskofu walikuwa wakimuombea na baraka zimefurika,akawapa mabilioni,akagawa makanisani na baadhi ya viongozi waliokuwa wakimnyooshea mambo yake,actually katika bilion 75 inawezekana alitumia bilion 5 tu kugawa takrima,bilioni 70 akatia kibindoni na kuachana na PAP.
SASA katika hela ya escrow ukitoa ile alilipwa ruge zinabaki ngapi vile?
Saa hizi Lizaboni anaanda uzi wa kipropaganda ili aje kujaribu kututoa kwenye huu mjadala.iv Lizabon Akija Hapa Si anaweza pata presha kijana wa watu jaman
Hii serikali Hii ni pasua kichwa
aaaaaaaarrrrrggggg
waiter zungusha nipunguze mawazo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ameshaisoma ila kaamua kuipotezeaMtumie mjomba Magu ilituone moto wake katika hili.
Katika mradi huo sidhani Ruge alikuwa kachanga hata senti kununua ile mitambo na kuisimika,yeye katika ubia huo alikuwa katoa shamba lake la mihogo kama plot,
nadhaani malipo yalipotoka singer akaona uzito kugawana na ruge ambae hakuwa na mchango wa pesa katika mradi zaidi ya kiwanja na kuwa na connection serikalini.
Ni baada ya ruge kuona yeye kama mbia anaweza asiambulie kitu ndo kaenda mahakamani,na singer akaona isiwe tabu kama mradi ukiwa wake na akamudu kuzalisha megawat 500 atakula hela ndefu kuliko vile vijisenti,akaamua kununua zile asilimia 30 za hisa za Ruge kwa bilioni 75,akampay off,
Ruge ambaye alikuwa hajawahi kukamata kitita kama hicho akapagawa,akaanza kulipa fadhila,
sijui ile plot aliipataje,ruge akampa tibaijuka bilion moja,kumbuka kipindi hicho tibaijuka alikuwa waziri wa ardhi,nadhani ile haikuwa rushwa bali shukrani,akakumbuka pia maaskofu walikuwa wakimuombea na baraka zimefurika,akawapa mabilioni,akagawa makanisani na baadhi ya viongozi waliokuwa wakimnyooshea mambo yake,actually katika bilion 75 inawezekana alitumia bilion 5 tu kugawa takrima,bilioni 70 akatia kibindoni na kuachana na PAP.
SASA katika hela ya escrow ukitoa ile alilipwa ruge zinabaki ngapi vile?
Thubutu! Hawezi fanya lolotehuu mfupa unaweza ukamshinda
But if he goes after this, he leaves a legacy, kwamba kweli he walks the talk- kuhusu kupambana na ufisadi, and people might actually disregard his inaction on the lugumi scandal