Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,782
- 21,008
Kwa maneno machache sana umejibu yote. Kweli tupu.Hawezi kukata tawi alilokalia
Kwa maneno machache sana umejibu yote. Kweli tupu.Hawezi kukata tawi alilokalia
Huwezi kata bomba linoelekeza maji kwako ufe na ukameMtumie mjomba Magu ilituone moto wake katika hili.
Alilo andika, lina maana kubwa na limebeba ujumbe mzito, kuliko hata hayo maneno elfu kenda.Kwa maneno machache sana umejibu yote. Kweli tupu.
unajua hiyo ishu siyo kubwa kivile,singesinga kabla hajalipwa alikubali kuwa yakitokea matatizo yeye ndo atakuwa responsible,Thubutu! Ikulu itawaka moto na nchi kupata tetemeko kubwa sana. Visingizio visivyokwisha ili kuendelea kuficha na kulinda maovu yao chungu nzima.
Atakuambia ni utawala wa sheria acha vyombo husika vifanye kazi yake kwakua tyr washanzisha mahakama hzo huku wakisema wanasubiri rufan iliyokatwa na tanesco kuzaa matunda..Mh Magufuli atawatumbua Sana watumishi wazembe kwa unyonge wao,atawafukuza na kuwa funga Sana watumishi hewa kwa unyonge wao na atawasurubisha Sana wanasiasa wa upinzani kwa Sababu ya unyonge wao lakini hapa kwenye ESCROW ndiyo break yake.
Hata uwe mtakatifu vipi bila kuikataa CCM na kazi zake zote ni lazima ugeuke kuwa mjusi,hata uwe mchapa kazi vipi bila kuikata CCM na kazi zake zote lazima uwe legelege,hata Kama uwe mbishi na mjuaji Sana bila kuikata CCM na kazi zake zote lazima ubadilike na kuwa mtu wa ndiyo mzee na hata kama uwe Moto Sana kiutendaji bila kuikataa CCM na kazi zake zote lazima urudi ukiwa baridi Kama kifaranga cha kuku kilichokosa Joto la mama yake.
May be they should be skinned alive. This is the only way to get and fix more culprits. Absence of this the case gonna take centuries and at that time our grand grand children will have diedWatafutwe wote waliohusika kuanzia Maswi, Muhongo, Ndulu wafikishwe kwenye vyombo vya sheria.
Katika mradi huo sidhani Ruge alikuwa kachanga hata senti kununua ile mitambo na kuisimika,yeye katika ubia huo alikuwa katoa shamba lake la mihogo kama plot,
nadhaani malipo yalipotoka singer akaona uzito kugawana na ruge ambae hakuwa na mchango wa pesa katika mradi zaidi ya kiwanja na kuwa na connection serikalini.
Ni baada ya ruge kuona yeye kama mbia anaweza asiambulie kitu ndo kaenda mahakamani,na singer akaona isiwe tabu kama mradi ukiwa wake na akamudu kuzalisha megawat 500 atakula hela ndefu kuliko vile vijisenti,akaamua kununua zile asilimia 30 za hisa za Ruge kwa bilioni 75,akampay off,
Ruge ambaye alikuwa hajawahi kukamata kitita kama hicho akapagawa,akaanza kulipa fadhila,
sijui ile plot aliipataje,ruge akampa tibaijuka bilion moja,kumbuka kipindi hicho tibaijuka alikuwa waziri wa ardhi,nadhani ile haikuwa rushwa bali shukrani,akakumbuka pia maaskofu walikuwa wakimuombea na baraka zimefurika,akawapa mabilioni,akagawa makanisani na baadhi ya viongozi waliokuwa wakimnyooshea mambo yake,actually katika bilion 75 inawezekana alitumia bilion 5 tu kugawa takrima,bilioni 70 akatia kibindoni na kuachana na PAP.
SASA katika hela ya escrow ukitoa ile alilipwa ruge zinabaki ngapi vile?
Singasinga sio kichwa,ni kiwiliwili,kichwa kipo na hakitaguswa.Dr Magufuri hana ubavu huo.Lugumi ametushinda tutamuweza singasinga!
Haaaa kwahio magu atulie tuuu ama nn, na hayo mabilion nan atalipa uktaka magu akaushe???.ANaweza kuzuia tu haya yasitokee tena inatosha!Kufukua mambo ambayo hukuwa na maamuzi nayo sioni kama kuna umuhimu!Kila zama na kitabu chake
Hili liko ndani ya uwezo wa uwezo wangu: umesema Ruge hakuwahi kukamata kitita kama kile? Yaani yale ndo mabilioni ya kwanza Ruge kushika??? Mmmm
Ruge hakuwahi kukamata bilion 75,tena sasa kwa kuwekeza kiplot tu,hata ningekuwa mimi ningepagawa,mashehe wangekula bilion moja moja kama asante,mwalimu mkuu wangu angekula milion 500,waziri wa nishati mstaafu nisingemsahau kwani hakunifanyia roho mbaya katika mchakato wa kukamata kandarasi etc.Hili liko ndani ya uwezo wa uwezo wangu: umesema Ruge hakuwahi kukamata kitita kama kile? Yaani yale ndo mabilioni ya kwanza Ruge kushika??? Mmmm
ANaweza kuzuia tu haya yasitokee tena inatosha!Kufukua mambo ambayo hukuwa na maamuzi nayo sioni kama kuna umuhimu!Kila zama na kitabu chake