Escrow kumuumbua Rais Kikwete

Escrow kumuumbua Rais Kikwete

Wanamgeuza Mama wa watu sehemu ya kujifunzia masumbwi .......... wenye hili zigo wanaachwa ..........
 
MAMBO YA ESCROW rugemalira aliye wahonga maofisa wa serikali yeye hajafikishwa mahakamani, labda sheria imebadilika mwenyekosa ni anayepokea na siyo mtoaji, nchi hii imekuwa ya kijinga kabisa.
 
"Wakimwaga mboga na sisi tunamwaga ugali.... JK ajaribu aone" - Kuna mtu kanitonya hivyo muda si mrefu...
 
Akili ndogo kamwe haiwezi kushinda akili kubwa, hata wale wa nchi za Wafadhili waliogomea kutoa $1 billion ni wachekeshaji tu lakini uchekeshaji wao umesababisha nchi kupitia kipindi kigumu hata mahospitali kukosa madawa na huku Serikali dhalimu ikihaha huku na kule kutafuta pesa.


Kubenea ni mchekeshaji tu na anaandika haya kumfurahisha bosi wake
 
mchekeshaji kubenea anaendelea kuwachekesha wakubwa zake
 

Kama ni kweli ndivyo kinachoendelea... Anna Tibaijuka is a SCAPEGOAT... na Anajulikana fika alikuwa hana Makundi ndani ya CCM hence ni rahisi kumsengenya na kumuangusha...

Sababu, ni kwanini CHENGE hawamjadili huko CC aondoke kwenye CCM ? kwanini Anna Makinda bado anamtumia CHENGE kwenye maamuzi mengi tu BUNGENI ni kwasababu alisoma HARVARD ??? Anna Tibaijuka is Bright as well!!!

Nchini Kenya Wanasifia Uamuzi wa Rais Kikwete sababu -- Rais katoka kabila dogo na kamfukuza kazi mtu wa kabila kubwa na hakuna mtafakuru wa kikabila nchini...

Is there ENOUGH is ENOUGH ??? Yeye Hakuiba hizo PESA... Wezi wapo na Wengine around Rais wetu na hakuna wa kuwashitaki... Is there a REAL JUSTICE in OUR BELOVED NATION ??

Matendo ya Kikwete yana incite violence
 
"Wakimwaga mboga na sisi tunamwaga ugali.... JK ajaribu aone" - Kuna mtu kanitonya hivyo muda si mrefu...

tehetehetehe! JF kuna mambo! Wengine wanatoa mikwara humu JF wakati hawana hili wala lile
 
....

......Zimwi limevimba ndani ya nyumba ...kalikuwa ka mjusi tu sasa LIMAMBA !!
Muhongo hawajibishwi kwa sababu anajua mengi na hana matani na nimsema kweli. Aidha wamfukuze amwage kila kitu hadharani au wammalizie ili wawe salama.
 
Matendo ya Kikwete yana incite violence

Mkuu, yaelekea una hasira sana na JK. Na huu ndio ujinga wa wafuasi wa chadema ambao wanadhani kuwa Tanzania inaongozwa kwa amri ya mtu mmoja tu
 
Wenye akili za kawaida tunajua wazi.kuwa esrow ne dili la kikwete na familia yake

Kweli kabisa kwani Albert Marwa ndiye aliyemleta Harbinder Singh na kufanikisha uchotwaji wa fedha hizo. Hivyo wizi wote wa fedha hizo ni kazi ya Kikwete na ndiye anayetakiwa kuwajibishwa pamoja na Muhongo, Maswi, Gavana wa Benki Kuu Prof. Ndulu.
 
Muhongo hawajibishwi kwa sababu anajua mengi na hana matani na nimsema kweli. Aidha wamfukuze amwage kila kitu hadharani au wammalizie ili wawe salama.

duh! Hii sasa ni kali. Yote haya ni kutamani Muhongo awajibishwe hata kama hana hatia
 
Kweli kabisa kwani Albert Marwa ndiye aliyemleta Harbinder Singh na kufanikisha uchotwaji wa fedha hizo. Hivyo wizi wote wa fedha hizo ni kazi ya Kikwete na ndiye anayetakiwa kuwajibishwa pamoja na Muhongo, Maswi, Gavana wa Benki Kuu Prof. Ndulu.

hahahahahaaaaa! Hayo mlimwambia Zitto wakati anaandaa ripoti ya PAC?
 
Matendo ya Kikwete yana incite violence

Wizi wa Kikwete unavunja rekodi zote za wizi kwani ni skandali baada ya skandali: Deep Green, Richmond, EPA, Escrow na Vibali vya sukari bila kudharau mabomu ya Mbagala na Ukonga. Mbona Majanga tena Majanga!
 
hahahahahaaaaa! Hayo mlimwambia Zitto wakati anaandaa ripoti ya PAC?
Aliambiwa akayapuuza kwani alifanya kazi ya kumlinda Mkwere na Gavana wa Benki Kuu. Yeye alipewa hata wezi wa Stanbic akakataa kuitoa na kuamua kuwaandama waliopewa fedha na Rugemalira ili kutekeleza kazi aliyopewa na Mkono na Standard Chartered Bank.
 
duh! Hii sasa ni kali. Yote haya ni kutamani Muhongo awajibishwe hata kama hana hatia

Najua CCM ukweli ni sumu kali sana na hautakiwi kabisa, lakini huo ndo ukweli Muhongo ni ngoma nzito. CCM ni aidha wasuke au wanyowe hawana njinsi.
 
duh! Hii sasa ni kali. Yote haya ni kutamani Muhongo awajibishwe hata kama hana hatia

Najua CCM ukweli ni sumu kali sana na hautakiwi kabisa, lakini huo ndo ukweli Muhongo ni ngoma nzito. CCM ni aidha wasuke au wanyowe hawana njinsi.
 
Back
Top Bottom