Escrow kumuumbua Rais Kikwete

Escrow kumuumbua Rais Kikwete

Mkuu, yaelekea una hasira sana na JK. Na huu ndio ujinga wa wafuasi wa chadema ambao wanadhani kuwa Tanzania inaongozwa kwa amri ya mtu mmoja tu

Kama Tanzania haiongozi na amri ya mtu mmoja, kwa nini maazimio ya Bunge yanapuuzwa na majumuisho yake kupotoshwa na mtu mmoja?

Unajua kwamba Bunge linatuwakilisha wananchi na sio Rais?

Wakati anasema ataibadilisha kigoma kuwa Dubai tulikubaliana naye kwenye ndoto hizo si mapepo yake ya uwongo mwenyewe.
 
Hivi ni shilingi ngapi zilizokuwepo kwenye account ya Tegeta ESCROW na ngapi zilichotwa? Nimesoma ripoti ya CAG inasema bilion 203 ndio zilikuweno na hizo ndizo zilichotwa. Magazeti mengine yanasema bilioni 306, mengine bilioni zaidi ya 300, Kubenea naye anasema bilioni 321, nani mkweli?

Ukiongezea na zile Deci Escrow zinakuwa ngapi mkuu? tupe hesabu kamili
 
Wizi wa Kikwete unavunja rekodi zote za wizi kwani ni skandali baada ya skandali: Deep Green, Richmond, EPA, Escrow na Vibali vya sukari bila kudharau mabomu ya Mbagala na Ukonga. Mbona Majanga tena Majanga!

Na akiondoka aiache list ya wauza unga ofisini ama sivyo atakamatwa kabla hajavuka Makumbusho on the way to Msoga.
 
Muhongo hawajibishwi kwa sababu anajua mengi na hana matani na nimsema kweli. Aidha wamfukuze amwage kila kitu hadharani au wammalizie ili wawe salama.

Wakumuua Muhongo wajiandae kumla Nyama, Mara nzima itaamia hapo magogoni. wasifikiri makabila yote ni wajinga wajinga.
 
Wakumuua Muhongo wajiandae kumla Nyama, Mara nzima itaamia hapo magogoni. wasifikiri makabila yote ni wajinga wajinga.

Mkuu hizi safari za Ulaya akae nazo chonjo si unajua yaliyotaka kumpata Mkono huko Ulaya.
 
Najua CCM ukweli ni sumu kali sana na hautakiwi kabisa, lakini huo ndo ukweli Muhongo ni ngoma nzito. CCM ni aidha wasuke au wanyowe hawana njinsi.


Muhongo , Maswi, Ndulu na bosi wao Kikwete kwa kushirikiana na Singasinga ndio waliotoa fedha za escrow hivyo wao ndio wanatakiwa kuwajibika. Huo ndio ukweli mweupe!
 
Kasamehewa na nani???? huyu kaombwa kuepusha balaa,mwizi anasamehewa toka lini ONLY IN TZ!!!!
Werema amesamehewa kwa sababu alikubali kuondoka mwenyewe huu Tibaijuka ameshakuwa mbuzi wa kafara
 
Hivi ni shilingi ngapi zilizokuwepo kwenye account ya Tegeta ESCROW na ngapi zilichotwa? Nimesoma ripoti ya CAG inasema bilion 203 ndio zilikuweno na hizo ndizo zilichotwa. Magazeti mengine yanasema bilioni 306, mengine bilioni zaidi ya 300, Kubenea naye anasema bilioni 321, nani mkweli?
Waandishi wengi wa bongo ni waandishi njaa mtu kama kubenea huwa hajui hata anachokifanya zaidi ya kuandika kwa chuki dhidi ya watu asiopatana nao.
 
Yeye amehusishwa kwenye waliokwapua mabilioni stanbic kwa mifuko ya salfet(rejea bwana NGURUMO)
Kahusishwa na nani au wewe ndiyo unamhusisha kwani nani au ripoti gani imemhusisha.
 
hv chama kitatoa wapi pesa ya uchaguz? itatoshaa kweli ili nibaki madarakani kichama..natakiwa nipate pesa pia ya kuwavuruga ukawa!!
wew mama utabeba jahaz...maana kuna wenzetu wamevujisha haya kwa wahisani!! hawa wengine kiporo ili tuone upepo!!
 
Kama Tanzania haiongozi na amri ya mtu mmoja, kwa nini maazimio ya Bunge yanapuuzwa na majumuisho yake kupotoshwa na mtu mmoja?

Unajua kwamba Bunge linatuwakilisha wananchi na sio Rais?

Wakati anasema ataibadilisha kigoma kuwa Dubai tulikubaliana naye kwenye ndoto hizo si mapepo yake ya uwongo mwenyewe.
Unawezaje kutekeleza maamuzi ya wabunge ambao miongoni mwao wamehongwa na mafisadi kushambulia watu hata wasiokuwa na hatia.

Kamati ya PAC imejaa wahuni wala rushwa kama zitto na kundi lake ambao kwao ufisadi ni kama maji wabunge wengi mule ni wahuni wa kawaida tu mtu kama sugu,lema,mkono au mpina hata zitto unategemea walete nini cha maana kama siyo ujinga.
 
Muhongo , Maswi, Ndulu na bosi wao Kikwete kwa kushirikiana na Singasinga ndio waliotoa fedha za escrow hivyo wao ndio wanatakiwa kuwajibika. Huo ndio ukweli mweupe!
Acha bangi wametoa kiasi gani mnavuta bangi mnakaa kutaja majina ya watu pasipo sababu za msingi jk hawezi kufanya jambo kwa mashinikizo wa kihuni ya watu wanaoongozwa na wafanyabiashara wezi.
 
Unawezaje kutekeleza maamuzi ya wabunge ambao miongoni mwao wamehongwa na mafisadi kushambulia watu hata wasiokuwa na hatia.

Kamati ya PAC imejaa wahuni wala rushwa kama zitto na kundi lake ambao kwao ufisadi ni kama maji wabunge wengi mule ni wahuni wa kawaida tu mtu kama sugu,lema,mkono au mpina hata zitto unategemea walete nini cha maana kama siyo ujinga.

Hivi TAKUKURU si ipo,kama wamehongwa si wangekamatwa?????Hebu kuwa na heshima kwa wabunge wako mahiri waliojazana kwenye ile kamati
 
Back
Top Bottom