Escrow kumuumbua Rais Kikwete

Escrow kumuumbua Rais Kikwete

.....

.....Kutembea na bakuli ni aibu sana !!!

1.1749333.jpg
 
Wapi imeandikwa kuwa amekwapua? By the way, hivi Mkulu ana dhiki gani kiasi cha kutumia njia za panya kujipatia mapato?

Tatizo nimaamuzi yake hayaeleweki, sio za umma, kodi ya serikali imo ndani, yeye peke yake anajichanganya anaficha nini?
Nikweli kodi siyo hela ya umma?, je reavaluation ilifanyika na kuthibitisha hela yote ilikwa ya singasinga?

Utata wa maelezo ya kikwete, kujiumauma, kushindwa kuchukuwa hatua kwa muda muafaka, Ikulu kushiriki, kushindwa kusimamia ieleweke nania kachukuwa za Stanbic nk ndivyo vinavyopelekea watu kuona yawezekana Kikwete yumo maana ubabaishaiji umekuwa mkubwa kuliko jambo lenyewe.
 
Mama Tibaijuka pole sana ila nahisi wewe kwa sababu ni mwanamke ndiyo maana unaonewa mama yangu. Madume kibao yanaachwa wewe wamekubeba sijui siku hizi unalala usingizi? wewe na wizara ya nishati na madini wapi na wapi! pole ila komaa mama hiyo ndiyo serikali ya chama chako sikivu!
 
Jamani Mimi nashindwa kuelewa kwanini waliopewa fedha kupitia account za stanbic bank hawajutajwa wakati ndio waliopewa hela zile alizobaki nazo singh badala yake mnataja zile alizotoa Rugemalira wakati Ruge alipewa hela zake alizouza hisa zake kwa Singh hata kama Singh aliiba wakukamatwa ni yeye huyu alielipwa alikwenda kulipa kodi ya mauZo ya hisa zake kisha akaamua kugawa apendavyo hapa mwenyekosa nadhani ni huyo aliemlipa.alizipataje pesa hizo? Je alizilipia kodi? Je hao aliowalipa hawahusiki kumsaidia kupata? Kama Jk hahusiki kwanini tusitajiwe waliopewa mgao kule stanbic?
 
Prof Anna alipewa hela kama zawadi na yeye hakuwa na maamuzi yoyote hama Wizara Fedha, BoT wala Tanesco. Kwa nini yeye tu ndo ashikiwe bango. Kama ni kiasi cha pesa alichopewa mbona Chenge haguswi. Kama Prof Tibaiijuka anasakamwa kwa kuwa ni Mwanamke na ni Mhaya na kwa sababu ya kupewa hela na Mhaya (kaka yake kama alivyosema yeye) basi hapa Wahaya wote tunasakamwa.

Change akiguswa nchi itatisika
 

Mpango wa sasa, ni kuwakamata baadhi ya waliopewa fedha na James Rugemalira, mmoja wa wamiliki wa IPTL ili kuzima mjadala.

Profesa Anna Tibaijuka, mbunge wa Muleba Kusini (CCM), yumo katika orodha ya wanaotakiwa kufikishwa mahakamani wakati wowote wiki hii.


Tayari Prof. Tibaijuka amehojiwa zaidi ya mara moja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa (TAKUKURU), kuhusu Sh. 1.6 bilioni alizopewa na Rugemalira.


Mkakati wa kumfikisha mahakamani Prof. Tibaijuka, unasukwa kwa ustadi mkubwa na waziri mmoja mwandamizi katika serikali ya Rais Kikwete.


“Watanaka Prof. Tibaijuka apelekwe mahakamani kwa hoja kuwa, kwa hadhi aliyonayo kimataifa, sakata zima la Akaunti ya Tegeta Escrow
litakuwa limezimwa,” anaeleza mtoa taarifa.


Mahesabu mengine ni ngumu hata kwa profesa wa Hisabati.Hivi kweli kabisa mtu mzima anasimama na kuamini taarifa kama hiyo au taarifa kama hiyo eti ni ushauri kwa JK.



Anasema, “Lakini nataka nikuhakikishie, kitendo hicho kitasababisha tatizo kukua. Rais Kikwete anafahamu fika Harbinder Singh Sethi wa IPTL kuwa alitokea ikulu kabla ya kukwapua mabilioni ya shilingi kutoka akaunti ya Escrow.”

Raisi akitaka kufanikiwa kujitenga na issue hii-anze kuwatosa wabambe wake wa kutokea Ikulu na ajifanye kiziwi awatose wote waliomzunguka hata kama tetesi kuwa familia yake imo-lakini haukuna mbambe anayeweza kudhubutu kumnyooshea kidole.


Pili, hatua ya kumfikisha mahakamani waziri huyo wa zamani wa ardhi, kutasaiidia kumkingia kifua waziri wa nishati na madini, Prof. Sospeter Muhongo na kuzima mjadala bungeni.


Rais Kikwete alimfuta kazi Prof. Tibaijuka katika mkutano wa “Wazee wa Dar es Salaam,” tarehe 23 Desemba 2014.



Hili itakuwa maajabu ya 2015 na yanawezekana Tanzania tu!
 
Back
Top Bottom