Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,566
Ukweli upo kwenye ripoti ya CAG. HAO WENGINE AKIWEMO KUBENEA ni wazushi na wazandiki
Prof.muhongo mmeshamfukuza??
Ukweli upo kwenye ripoti ya CAG. HAO WENGINE AKIWEMO KUBENEA ni wazushi na wazandiki
mliompigia kura jk jipimeni akili zenu...
Kwani kwenye ripoti ya CAG na TAKUKURU kuna mahala amehusishwa Rais KIKWETE?
Mkuu, Ripoti ya CAG ipo humu mtandaoni na nimesoma neno kwa neno sijaona mahala JK amehusishwa. Au mmelewa na porojo za akina Yeriko Nyerere?Ripoti CAG kikwete anayo ccm na familia ya Jk wanahusika kwenye huu wizi
Dada, hakika suala la ESCROW limeonesha rangi halisi za baadhi ya watu. Kubenea ni mmojawapoKubenea anahangaika sana. Fedha za Reginald Mengi alizolamba kushinikiza Muhongo afukuzwe anaona kuwa zinataka kumtokea puani
Wapi imeandikwa kuwa amekwapua? By the way, hivi Mkulu ana dhiki gani kiasi cha kutumia njia za panya kujipatia mapato?Mkulu naye amekwapua....
Naona inawauma zana mhaya mwenzenu kufukuzwa.Sidhani kama Jk alikuwa na nia ya kumfukuza tibaijuka..kelele na minong'ono ya wazee pale ukumbini ndio ilimfukuza prof.tibaijuka..kama kuna mtu anaweza kupata alichokuwa anakisoma(hotuba)atagundua hilo
Acha uduanzi wewe. Huenda hata hiyo 2005 ulikuwa unanyonyaUmemaliza kabisa. Nikikumbuka kampeni za mwaka 2005, sina hamu. Mijitu tulivyokuwa tunaieleza inatuona waduwanzi. Wengi nikiwakumbusha wanaishia kucheka kwa aibu kama mashoga.
Wazimu unaumwa wewe na huyo mwehu mwenzako Kubeneaanaumwa wazimu huyo jk
Kamuomba baba yako?..... Mtu anaye omba kila siku huku nchi yake ikiwa imekalia rasilimali kibao unategemea atakua na haya juu ya UFISADI
Inavyoelekea kuna mkakati ambao unaendelea ili Tibaijuka aonekane hana hatia. Mbona hawa akina Kubenea hawawataji akina Ngeleja, Chenge na wengine waliokula fedha hizo? Kubenea ni mpuuzi tena amepindukia
Mkuu, Ripoti ya CAG ipo humu mtandaoni na nimesoma neno kwa neno sijaona mahala JK amehusishwa. Au mmelewa na porojo za akina Yeriko Nyerere?
Dada, hakika suala la ESCROW limeonesha rangi halisi za baadhi ya watu. Kubenea ni mmojawapo
Wapi imeandikwa kuwa amekwapua? By the way, hivi Mkulu ana dhiki gani kiasi cha kutumia njia za panya kujipatia mapato?