dangadunguri
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 1,278
- 1,303
unajua misemo yote yenye ukakasi kama vile inaanzia chama dola. Mwingine alisema watazitoa kwenye tundu lolote lilowazi kwa kadri inavyowezekana.Mnooooo! Yaani kupita kiasi mkuu. Hivi ni mtu wa Asili ya Kabila gani huyu Askofu?
Hata huyu mama Tibaijuka nilimuheshimu sana kitaaluma na uwezo wake enzi alipokuwa UN-Habitat....amejivua nguo zote pale askari monument kwa hili sakata la Escrow. Amebaki kuhamasisha watu wapanue ili wengine wazidi kutamani! Pathetic.
Amedhalilisha sana Wanawake wasomi na wenye ndoto za uongozi.
Huyu kaja na panua watu watokwe na mate