Escrow: Kilaini, Ngeleja, Tibaijuka, Naiko kila mtu anena lake. Wengine hawajui wamrudishie nani

Pesa tamu! Uliona wapi sadaka ikahojiwa, bali hutakaswa kwa kuiombea ili kama ni haramu ipate kibali mbele ya Muumba! Askofu kausha sema ulisha zibariki na ukazitumbua!

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
 
Huyu askofu kilaini amechafua kabisa heshima ya kanisa katoliki, ni mtu mlarushwa
Kama unajua maana ya rushwa ni wazi hawa watu hawakupewa rushwa na kama unalijua kanisa katoliki huwezi kusema limechafuka, najua hayo ndiyo unayotamani yawe hivyo lkn sivyo yalivyo, tulieni mtaona mwisho wa haya mambo.

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Akilazimishwa kuzirudisha tutamchangia tu, ni askofu wetu. Maaskofu wetu wanaishi ndani ya jamii ya waumini na wanategemezwa na waumini wao, akiwemo huyo James Rugemalila. Askofu wa kikatoliki hana familia binafsi inayoweza kufaidika na chochote anachopewa, familia yake ni sisi waumini, na nina uhakika fedha hizo alizitumia kwa manufaa ya kanisa kwani hana pengine pa kuzipeleka. Akidaiwa tutazichanga kanisani tumpe akarudishe.

Well said
 
Back
Top Bottom