Errors in genesis

Errors in genesis

wakristo wengi wanaamini kuwa mpangilio wa matukio katika kitabu cha "mwanzo" ni scientifically accurate...si kweli

hauhitaji professor wa fizikia kutambua makosa yaliyomo katika kisa hicho cha uumbaji

mfano,mwanzo 1:3-5
"Mungu akatenga nuru na giza,mungu akaiita nuru mchana,na giza akaliita usiku"

uwepo wa mchana na usiku unategemea uhusiano wa vitu viwili,jua na dunia
lakini kulingana na biblia,jua pamoja na nyota zote ziliumbwa siku ya nne(ref;mwanzo 1:14-19)

sasa usiku na mchana vilikujaje siku ya kwanza?

mwanzo 1:9-13

Mungu anaumba majani,miche itoayo mbegu na miti katika siku ya tatu

kwa utashi wa kawaida tu,hakuna mmea unaoweza kuishi bila photosynthesis.Mojakati ya requrements muhimu ya photosynthesis ni mwanga wa jua,lakini jua liliumbwa siku moja
baadae

mwanzo 1:14-19

Mungu anaumba mianga(chazo cha mwanga) miwili mikubwa yaani mwezi na jua,kisha mwezi utawale usiku

lakini mwezi hautengenezi mwanga wake bali unaakisi mwanga unaotoka kwenye jua

wakristo mnahitajika hapa tafadhali!

Naweza kuacha kwasabab unawaongelea Wakristo,,, ila siwezi kuacha kwasabab andiko lako Linabeza Uwepo wa Mungu Bila kujali unaongelea dini gani.
Narudia tena kukuuliza,,, ni alama/dalili zipi zinazokufanya uamini dunia /ulimwengu ulijiumba?
 
that gay is so jealousy!!!

by the way,nimechagua basic knowledge kama hiyo ili kila mtu aweze kuelewa nini ninachozungumzia.

sasa mtu anakuja kukuorodheshea list ya masomo aliyosoma,hayo yote ya nini?

NB:guy not gay

Lol...... Nimecheka saaana!
 
I'm not scientist as you think,but it just delusion of your ignorance

I chose basic knowlegde like this one,so as anyone can understand my point of view

your irrational argument harmony with your own name,mr "null"

Don't talk about my name dude, hujui "nullpointer" ni nini, sio null kama unavofikiri, ndo maana nakwambia you don't know everything. Call me ignorant but that doesn't make you any less ignorant. Unasoma maneno mawili matatu kwenye vijiblog vya hapa na pale unakuja kujifanya unajua biblia ina maana gani na kuanza critics zako za ovyo. No one is forcing you to read the book, you atheists really like to get into some other people's businesses. Cant u just accept the fact that religion is there as part of people's lives! if it aint part of your life then live with that, why would it bother you that much?
 
Yeye wala hakujifanya mwanasayansi huo ni mtazamo wako tu uliotokana na either wivu au panic, kama unajua kama anaongelea vitu vya kawaida mbona badala ya kujibu hoja unakaa kumjadili mpaka avatar yake? Smh

Hehehe go back and read what he said, umebase sana kwenye negativity towards me, siwezi kupanic na wala sina wivu kwa kua mleta mada hakuna chochote kile alicho above me.

Just another ignorant, stop wasting my time. Go read a book.
 
wakristo wengi wanaamini kuwa mpangilio wa matukio katika kitabu cha "mwanzo" ni scientifically accurate...si kweli

hauhitaji professor wa fizikia kutambua makosa yaliyomo katika kisa hicho cha uumbaji

mfano,mwanzo 1:3-5
"Mungu akatenga nuru na giza,mungu akaiita nuru mchana,na giza akaliita usiku"

uwepo wa mchana na usiku unategemea uhusiano wa vitu viwili,jua na dunia
lakini kulingana na biblia,jua pamoja na nyota zote ziliumbwa siku ya nne(ref;mwanzo 1:14-19)

sasa usiku na mchana vilikujaje siku ya kwanza?

mwanzo 1:9-13

Mungu anaumba majani,miche itoayo mbegu na miti katika siku ya tatu

kwa utashi wa kawaida tu,hakuna mmea unaoweza kuishi bila photosynthesis.Mojakati ya requrements muhimu ya photosynthesis ni mwanga wa jua,lakini jua liliumbwa siku moja
baadae

mwanzo 1:14-19

Mungu anaumba mianga(chazo cha mwanga) miwili mikubwa yaani mwezi na jua,kisha mwezi utawale usiku

lakini mwezi hautengenezi mwanga wake bali unaakisi mwanga unaotoka kwenye jua

wakristo mnahitajika hapa tafadhali!

Kuna nyani hapa limevaa nguo linaandika utumbo

Swali rahisi aliyepanga hivi vitu humu ulimwenguni na kuwa katika order unayoitetea ni nani ?
 
Hehehe go back and read what he said, umebase sana kwenye negativity towards me, siwezi kupanic na wala sina wivu kwa kua mleta mada hakuna chochote kile alicho above me.

Just another ignorant, stop wasting my time. Go read a book.

Hakuna chochote kile alicho above me" hapa ndo tatizo lilipo.
Sijabase upande wowote ule. Muone Psychologist tu mkuu maana hakuna namna.
 
Don't talk about my name dude, hujui "nullpointer" ni nini, sio null kama unavofikiri, ndo maana nakwambia you don't know everything. Call me ignorant but that doesn't make you any less ignorant. Unasoma maneno mawili matatu kwenye vijiblog vya hapa na pale unakuja kujifanya unajua biblia ina maana gani na kuanza critics zako za ovyo. No one is forcing you to read the book, you atheists really like to get into some other people's businesses. Cant u just accept the fact that religion is there as part of people's lives! if it aint part of your life then live with that, why would it bother you that much?

hahahaa.

you must have been born on high way because that's where most accident occur

you are right,I don't know everything because I'm not omniscient being,but I've bulk quantinty of knowledge more than yours from secondary school
we don't bother your religion foundation,you can take it or leave it,but we don't care
and which blogs contain this stuff ?can you mention it?
 
Hakuna chochote kile alicho above me" hapa ndo tatizo lilipo.
Sijabase upande wowote ule. Muone Psychologist tu mkuu maana hakuna namna.

Jimena,watu kama hao reply moja tu inawatosha then you move on.
ushawahi kujiuuliza kwanini sauti za wachungaji zimekauka?..ni kwasababu ya ubishi

na ubishi kama huo ndiyo wanaorithishwa O-level dropout kama huyo
mtu anajiita "null" halafu bado povu linamtoka
 
Jimena,watu kama hao reply moja tu inawatosha then you move on.
ushawahi kujiuuliza kwanini sauti za wachungaji zimekauka?..ni kwasababu ya ubishi

na ubishi kama huo ndiyo wanaorithishwa O-level dropout kama huyo
mtu anajiita "null" halafu bado povu linamtoka

Nimekusoma vyema mkuu... Acha nimuache tu kama alivyo kwasababu najua amenielewa ila tu anaona aibu kukiri hadharani😀😀
 
Kuna nyani hapa limevaa nguo linaandika utumbo

Swali rahisi aliyepanga hivi vitu humu ulimwenguni na kuwa katika order unayoitetea ni nani ?

I'm ape,your right,because your biological make up envolved from me

but you are still failed abortion whose birth certificate is an apology from condom factory!
shame on you mrs!!
 
Ukiacha kumfananisha Mungu na asuman, utapata majibu ya maswali yko. Unaongelea photosynthesis kwa Mungu aliyeiumba!! Basi inabidi pia uanzishe thredi ukihoji kisayansi Yesu alizaliwaje na mwanamke bikra, pia kisayansi ile fimbo ya Musa iliwezaje kutenganisha bahari. Pia Yesu aliwezaje kutembea kwenye maji na kufufua wafu.
 
you are absolutely right bro.

mistake cannot justfy the mistake,sasa mtu anakwambia kuwa chanzo cha mwanga ni mwanakondoo...absurd

mtu hana huelewe hata na maxwell's equation halafu bado analeta ubishi usio na tija

Mtoto wa kondoo ndio chanzo cha mwanga 😀
 
wakristo wengi wanaamini kuwa mpangilio wa matukio katika kitabu cha "mwanzo" ni scientifically accurate...si kweli

hauhitaji professor wa fizikia kutambua makosa yaliyomo katika kisa hicho cha uumbaji

mfano,mwanzo 1:3-5
"Mungu akatenga nuru na giza,mungu akaiita nuru mchana,na giza akaliita usiku"

uwepo wa mchana na usiku unategemea uhusiano wa vitu viwili,jua na dunia
lakini kulingana na biblia,jua pamoja na nyota zote ziliumbwa siku ya nne(ref;mwanzo 1:14-19)

sasa usiku na mchana vilikujaje siku ya kwanza?

mwanzo 1:9-13

Mungu anaumba majani,miche itoayo mbegu na miti katika siku ya tatu

kwa utashi wa kawaida tu,hakuna mmea unaoweza kuishi bila photosynthesis.Mojakati ya requrements muhimu ya photosynthesis ni mwanga wa jua,lakini jua liliumbwa siku moja
baadae

mwanzo 1:14-19

Mungu anaumba mianga(chazo cha mwanga) miwili mikubwa yaani mwezi na jua,kisha mwezi utawale usiku

lakini mwezi hautengenezi mwanga wake bali unaakisi mwanga unaotoka kwenye jua

wakristo mnahitajika hapa tafadhali!

Kwani wao ndio waandishi? mtafute mwandishi wa kitabu cha mwanzo akufafanulie yeye mwenyewe
 
I'm ape,your right,because your biological make up envolved from me

but you are still failed abortion whose birth certificate is an apology from condom factory!
shame on you mrs!!

Tuliza tako sindano iingie

hebu jibu swali wewe sokwe mtu

usipanic unyani ndio asili yenu
baada ya wazungu kutuona waafrika ndio wakasema binadamu wa kwanza alikua nyani kwa ajili ya ujinga watu kama nyinyi
 
Back
Top Bottom