Errors in genesis

Errors in genesis

wakristo wengi wanaamini kuwa mpangilio wa matukio katika kitabu cha "mwanzo" ni scientifically accurate...si kweli

hauhitaji professor wa fizikia kutambua makosa yaliyomo katika kisa hicho cha uumbaji

mfano,mwanzo 1:3-5
"Mungu akatenga nuru na giza,mungu akaiita nuru mchana,na giza akaliita usiku"

uwepo wa mchana na usiku unategemea uhusiano wa vitu viwili,jua na dunia
lakini kulingana na biblia,jua pamoja na nyota zote ziliumbwa siku ya nne(ref;mwanzo 1:14-19)

sasa usiku na mchana vilikujaje siku ya kwanza?

mwanzo 1:9-13

Mungu anaumba majani,miche itoayo mbegu na miti katika siku ya tatu

kwa utashi wa kawaida tu,hakuna mmea unaoweza kuishi bila photosynthesis.Mojakati ya requrements muhimu ya photosynthesis ni mwanga wa jua,lakini jua liliumbwa siku moja
baadae

mwanzo 1:14-19

Mungu anaumba mianga(chazo cha mwanga) miwili mikubwa yaani mwezi na jua,kisha mwezi utawale usiku

lakini mwezi hautengenezi mwanga wake bali unaakisi mwanga unaotoka kwenye jua

wakristo mnahitajika hapa tafadhali!

Mkuu kuwa muwazi tu, kitu unachojaribu kusema ni kuwa hakuna MUNGU
unazunguuuuuka..
 
you make me laugh mkuu.

unasema kuwa hata malaika wa mbinguni hawamjui,lakini malaika Gabriel anajitambulisha kwa mariam kama malaika anayesimama mbele ya kiti chake cha enzi...hapa bado hamjui?

back to the topic,Mungu hajulikani kama ulivyosema,lakini biblia inajulikana kama Neno lake

sasa kama neno lake mwenyewe limecontain fallacy ilihali yeye ndiyo omniscient,iweje tuendele kumuamini?

Hebu onyesha jinsi neno la Mungu lilivyo'contain' fallacy sijaipata vizuri hiyo fallacy.
 
mtoa mada tuambie hivyo vifungu vya biblia ni kutoka toleo gani la biblia. Sijawahi kusoma biblia inayosema Mungu aliumba jua au mwanga siku ya nne. ukweli ni kwamba mwanga uliumbwa siku ya kwanza, na ndio ilikuwa kazi ya kwanza ya mungu
 
So you know you cannot find proof in religion. What are you looking for in the bible? What kind of proof are you asking for if you already know there is none?

Take it or leave it. Life goes on.

thanks for accepting that there is no proof&fact in bible

life can goes on as you said,but keep this cliche in your mind;"always blind faith is compatible with invalid dreams"
 
mtoa mada tuambie hivyo vifungu vya biblia ni kutoka toleo gani la biblia. Sijawahi kusoma biblia inayosema Mungu aliumba jua au mwanga siku ya nne. ukweli ni kwamba mwanga uliumbwa siku ya kwanza, na ndio ilikuwa kazi ya kwanza ya mungu

duh!...rudia kusoma tena,labda utanielewa mkuu.
 
Ungekuwepo wakat dunia inaumbwa ningekuelewa. Kile ambacho unaona kidunia principle kwa Mungu ni kinyume ukitaka kujua mwamini na uombe akuonyeshe majib ya maswali yako lakin sio kutumia principle za waumbwa

Siungemuomba akupe majibu ulete hapa sasa! Watu wengine sijui mnapost mkiwa mmelala au vipi.
 
It's you committing fallacies for you have no idea about how the narratives were gathered and organised and whether what they present is a history of eg creation or a theology of creation. If it's a history then everything recorded follows in a chronological order and if it's a theology, then the chronological order doesn't matter what it matters is the message, which is intended for the addressees. My point is that it's not a history and so the arrangements are not necessarily in a chronological order. In this sense, the logic of history is not the logic of theology.

The vast majority of christians regard the bible as both theological and historical documents
because if this is not a case,then the so called prophecies would not be fulfilled at all
from that perspective,bible is historical documents also,so events in genesis should be necessarily in chronological order

hence your primises above are invalid as well as your conclusion..
 
Mkuu Areta,watu kama hawa huwa wananichekesha sana
ananiambie niombe ili mungu anipe majibu
kwanini asiombe yeye ili apewe hayo majibu,baada ya kupewe ayalete hapa?...this is funny

Kwanza hakuna majibu yanayopatikana kwa kuomba. Yangekuwa yapo basi hawa wote wangekuwa wameshapata majibu na kuyaweka hadharani ili huu mjadala uishe
 
Kwanza hakuna majibu yanayopatikana kwa kuomba. Yangekuwa yapo basi hawa wote wangekuwa wameshapata majibu na kuyaweka hadharani ili huu mjadala uishe

you said it all princess

Maombi yangekuwa yanafanya kazi kusingekuwa na makapu ya sadaka makanisani
ni swala la kuomba pesa tu,kisha mungu anazileta!!
 
you said it all princess

Maombi yangekuwa yanafanya kazi kusingekuwa na makapu ya sadaka makanisani
ni swala la kuomba pesa tu,kisha mungu anazileta!!

Absolutely.
Ila sasa tatizo wana macho lakini hawaoni..... Wana masikio lakini hawasikii
 
Absolutely.
Ila sasa tatizo wana macho lakini hawaoni..... Wana masikio lakini hawasikii

Tunaishi kwa kutegemeana Jimena,so acha wachungaji wa make dollars mpaka hao wakristo wa jumapili watakaposhtuka!!
 
That's your own making! What Christians believe is that biblical narratives are inspired and may not necessarily be factual (explaining what exactly happened eg God fashioning Adam from the earth and Eve from Adam's ribs), but theological (explaining what's behind the narrative - that we come from him). If we read that God created the world in six days and rested on the seventh, it doesn't mean he followed the calendar we have today because at the time he created there was no calendar (no Monday-Sunday). It's also the case that the narratives are not necessarily in a chronological order, but are arranged according to themes.

There are many incidents in the bible which scientists have failed to reckon from their theoretical frameworks. Magobe is right, the biblical account is a record of Gods acts in human history written within the context of our frames of mind! The Bible says one day in our lives is just like a thousand years in Gods perspective and vice-versa. The days of Genesis are either age long days or 24 hours days. A number of theories abound to that. In the book of Joshua, Joshua prayed that time will slow down so that he finishes a battle against his enemies. The Bible says the orbit which picks up days and nights was halted for 12 hours. Imagine! The sun stood still and the moon as well (according to the writer Moses). In the book of Job, God is also presented asking Job and his friends where were they when he was setting the orbit in place! Jesus calmed the blizzards in the Sea of Galilee. There is also resurrection: i.e. the coming back to life and ruptured to heaven like a spacecraft with no machines or turbo props. Enock was taken up that way but not dead! The same happened to Elijah - the chariots of God and their riders took him up. How can you explain the opening of the Red Sea? There is a bush that was burning but not consumed and Moses was attracted! Indeed the narratives in Genesis 1:1-31 are sequential rather than chronological. Follow up with the creation of man's story especially about Adams creation and that of Eve. Read chapters 1-3 and you should discover what I mean. I have left out some texts in some of my citations so as not to be too religious in this forum.
 
Back
Top Bottom